Hivi kutongoza ni kosa?

ukishindwa wapo wanaouza si uende ...sokoni?

Huko hakufai si unajua kuwa kuku mtamu ni yule unamkimbiza mwenyewe, unamkamata mwenyewe,unamchinja mwenyewe,unamnyonyoa mwenyewe,unampika mwenyewe,na unamla mwenyewe,hawa wa kukuta bandani na kutayarishwa na massawe unakuta ameshaonjwa mpaka ladha hakuna tena.
 

Umepata PM yangu?
 
Nimeiona thanks:cheer2:.:focus: Vipi lakini wewe haupigi mawe na kusakizia mbwa au huwa unatoa adhabu gani?

hapana mimi sifanyi hivyo kabisa....
sitaki nikuumize kiroho na nikuumize kimwili.....
hahahah lol
 
lazima ulipita mitaa ya tandale kwa mbwa
 
je kutongoza ni kosa mpaka wanaume tustahili adhabu zote hizi?
Inabidi usiingie mkichwa mkichwa angalia na dalili za kukubalika zipo? kama hazipo basi okoa muda na songa mbele............wapo wengi wakusubiria wewe bila ya mwenyewe kujijua vile........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…