GFM
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 706
- 8
PakaM hata chui huzaa, nimeona sana hizi tabia, watu wamepigwa mawe na vitu kama hivyo lakini mwishowe unasikia wamekuwa mume na mke. Namkumbuka dada mmoja age yetu enzi hizo alikuwa anakujatusimulia
..... hebu mwone kwanza alivyo mweusi ......... hata hajui kuvaa suruali, sijui infantria n.k. na maneno kibao ..... lakini jamaa hakukata tamaa miezi tisa baadae nasiki nanihii kachumbiwa na fulani ........ hapo sasa
kama na wewe ulikuwa unampiga madongo jamaa ujue imekula kwako .......... ila saa nyinge uvumilivyo unakushinda ....... afu ukiachi na kuondoka baada ya muda wanaanza kujilengesha tena .........
inachanganya:smile:
..... hebu mwone kwanza alivyo mweusi ......... hata hajui kuvaa suruali, sijui infantria n.k. na maneno kibao ..... lakini jamaa hakukata tamaa miezi tisa baadae nasiki nanihii kachumbiwa na fulani ........ hapo sasa
kama na wewe ulikuwa unampiga madongo jamaa ujue imekula kwako .......... ila saa nyinge uvumilivyo unakushinda ....... afu ukiachi na kuondoka baada ya muda wanaanza kujilengesha tena .........
inachanganya:smile: