Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Habari RAIA wema wa Tanzania, nimekaa nalo sana moyoni, lakini kila kukicha mambo yanazidi kuwa mabaya kutokana na matendo mabaya ya askari polisi.
Siku Mona nilikuwa nimesimama dukani nanunua vocha ghafla defender ya polisi ikaja ikawa inabeba watu hovyo. Kufika kwangu nikagoma nikauliza nimefanyaje? Polisi afu vijana hawaelewi wamekazana kusema kamata Hugo bebaa! Tukabishana sana ndio akaja polisi mwengine MTU mzima kidogo akaniangalia huku kashika bunduki akasema mwacheni dogo. Ikawa pona yangu. Na kipindi hicho nilikuwa mkoa mflani nasoma chuo
Baada ya kumaliza, Mungu mwema nilipata kazi katika taasisi Fulani ya Serikali mkoa fulani, kwakuwa kuna wakati nakuwa mtaani najamii katika kutekeleza majukumu ya kazi. Siku moja nilokuwa mtaani natekeleza majukumu yangu.. Sasa baada ya kumaliza nikawa naelekea kwenye gari ilipo paki niondoke.
Nimesimama nashangaa polisi wamevamia wamewashika vijana nilikuwa nao tumesimama nashangaa wakanifuata na Mimi na begi langu eti wananiambia pigs chini, nawauliza nimefanyaje jibu lao tulia wewe mwizi. Nikasema dash! Nikaangilia chini nikanyanyua macho nikawaangaliwa, mmoja kakazana shati.
Mwingine akana ninvyo waangalia akaona aibu akasimama mbali. Nikaona niwatolee kitambulisho walivyokiona wakanitoa haraka pembeni wakiambia nenda. Nikauliza hamjaona kama mmenidhalilisha? Hakujibu.. Nikasema sawa ila dunia itawafundisha na Mungu yupo.. Nikaondoka..
Haya ni baadhi tu ya madhirs yalonikuta
Naongea kwenu askari polisi mtatoa hesabu ya matendo yenu siku ya mwisho (nasema kwa imani yangu na ninauhakika na hilo)
Pia ninyi mmetoka kwenye jamiii pia mtarudi kwenye jamii maana hakuna kazi ya kudumi.
Pia dhulma mnayo Fanya laima mtailipa kwa namna yeyote ile maana ndiyo kanumi ya Kimungu na haijawahi kukosea na haitotokea...
Siku Mona nilikuwa nimesimama dukani nanunua vocha ghafla defender ya polisi ikaja ikawa inabeba watu hovyo. Kufika kwangu nikagoma nikauliza nimefanyaje? Polisi afu vijana hawaelewi wamekazana kusema kamata Hugo bebaa! Tukabishana sana ndio akaja polisi mwengine MTU mzima kidogo akaniangalia huku kashika bunduki akasema mwacheni dogo. Ikawa pona yangu. Na kipindi hicho nilikuwa mkoa mflani nasoma chuo
Baada ya kumaliza, Mungu mwema nilipata kazi katika taasisi Fulani ya Serikali mkoa fulani, kwakuwa kuna wakati nakuwa mtaani najamii katika kutekeleza majukumu ya kazi. Siku moja nilokuwa mtaani natekeleza majukumu yangu.. Sasa baada ya kumaliza nikawa naelekea kwenye gari ilipo paki niondoke.
Nimesimama nashangaa polisi wamevamia wamewashika vijana nilikuwa nao tumesimama nashangaa wakanifuata na Mimi na begi langu eti wananiambia pigs chini, nawauliza nimefanyaje jibu lao tulia wewe mwizi. Nikasema dash! Nikaangilia chini nikanyanyua macho nikawaangaliwa, mmoja kakazana shati.
Mwingine akana ninvyo waangalia akaona aibu akasimama mbali. Nikaona niwatolee kitambulisho walivyokiona wakanitoa haraka pembeni wakiambia nenda. Nikauliza hamjaona kama mmenidhalilisha? Hakujibu.. Nikasema sawa ila dunia itawafundisha na Mungu yupo.. Nikaondoka..
Haya ni baadhi tu ya madhirs yalonikuta
Naongea kwenu askari polisi mtatoa hesabu ya matendo yenu siku ya mwisho (nasema kwa imani yangu na ninauhakika na hilo)
Pia ninyi mmetoka kwenye jamiii pia mtarudi kwenye jamii maana hakuna kazi ya kudumi.
Pia dhulma mnayo Fanya laima mtailipa kwa namna yeyote ile maana ndiyo kanumi ya Kimungu na haijawahi kukosea na haitotokea...