Hivi kuwa single mama ni ulemavu au kosa?

Huwa mkosi pale unapojibebesha mimba wakati huna uhakika kama anayekupa mimba atakuoa ila......ila sisi mama zetu waliofiwa na waume zao wanalea wenyewe sio ma “ single mother” wao ni wajane ila nyie ma sistaa duu kweli ni mkosi tena balaa
 
Huwa mkosi pale unapojibebesha mimba wakati huna uhakika kama anayekupa mimba atakuoa ila......ila sisi mama zetu waliofiwa na waume zao wanalea wenyewe sio ma “ single mother” wao ni wajane ila nyie ma sistaa duu kweli ni mkosi tena balaa
Sawa!barikiwa hata huyo yako aliyefiwa nae ni singo maana analea peke yake hana tofauti na huyo aliyezaa bila ndoa!
 
Sawa!barikiwa hata huyo yako aliyefiwa nae ni singo maana analea peke yake hana tofauti na huyo aliyezaa bila ndoa!

Utofauti upo kwenye heshima kwa jamii kuna ukweli mchungu ambao masingle mother waliozaa kabla ndoa hawapendi kuusikia kuzalia nyumbani ni kinyume na mila zetu me nina dada zangu waliona ni mtundo wa siku hiz wakajaribu wanajuta sasa hivi
 
Utofauti upo kwenye heshima kwa jamii kuna ukweli mchungu ambao masingle mother waliozaa kabla ndoa hawapendi kuusikia kuzalia nyumbani ni kinyume na mila zetu me nina dada zangu waliona ni mtundo wa siku hiz wakajaribu wanajuta sasa hivi
Wape pole Dada zako![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!

Natamani ungeelewa mada kwanza umesoma tu heading ingia ndani soma elewa halafu ukomenti!!
 
Watu wa jf jifunzeni kusoma habari ndipo mkomenti jamani kaahh!!
 
Kuna dem alinitosa kipindi kile nipo shule sina ishu, bwana wee akapata mhuni akapiga mimba. Dem kazaa baada ya mwaka jamaa akaingia mitini, saivi anatuma sms kutwa nzima namimi namuangalia alaf nasema hiiiiiiiiiii
 
Kuna dem alinitosa kipindi kile nipo shule sina ishu, bwana wee akapata mhuni akapiga mimba. Dem kazaa baada ya mwaka jamaa akaingia mitini, saivi anatuma sms kutwa nzima namimi namuangalia alaf nasema hiiiiiiiiiii
Hahaaa....daahhh!a anajutaa
 
Hakuna kitu kama "single mother". Hakuna mtoto asiye na baba.

Kujiita "single mother" ni kujipachika jina la kuhurumiwa. Unacheza na akili za watu.

Hujaelewa context ya hilo jina!

Wewe sio native English speaker,natives wenye lugha yao ndio wametoa hilo jina!

Sijui wewe unawabishia wenye lugha yao meaning na context yao wewe kama nani hasa?

Wewe sio native English speaker,sio English language scholar,sio yeyote hapo,ila unawabishia matumizi yao kwa maana yao waliyojiwekea wao,sijui haya mapafu unatolea wapi?
 
Hilo bibi kizee ni lisingo mama, huoni lilivyo na visirani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…