Hivi kwa Kinachoendelea sasa Yanga SC nikiwaza hivi nitakuwa nakosea?

Hivi kwa Kinachoendelea sasa Yanga SC nikiwaza hivi nitakuwa nakosea?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Inakuingia Akilini Kweli kuwa kama tuliaminishwa kuwa kwa sasa Yanga SC kuna Fedha huku GSM, Taifa Stars na Kiongozi Mstaafu wakiwa nyuma Kuihudumia Kipesa na hapo hapo Timu imeshinda Ubingwa wa NBC, ASFC na kufika Fainali ya CAFCC ambako kote huko imepata Pesa nyingi mno leo hii ikakimbiwa na Kocha Mkuu, Kocha wa Makipa na 65% ya Wachezaji wake Waandamizi walioipatia Mafanikio makubwa Timu hiyo?

Fikra zangu GENTAMYCINE zinanipeleka kuhisi kuwa huenda huko Yanga SC kuna matatizo makubwa ya Kipesa ila Uongozi na Matajiri tajwa wachache wanatumia nguvu Kubwa kuficha kwa Kuwahonga Waandishi wa Habari za Michezo nchini ili wasiseme.

Nimeenda mbali zaidi Kuwaza kuwa huenda Wachezaji hawa na Makocha walioondoka Roho zao zinawasuta kwakujua kuwa Mafanikio yao ya Vikombe na Kufika mbali Kimataifa kulitokana na Ujanja Ujanja (Chupli Chupli) ila siyo Uwezo halisia.

Ngoja tuone ila nina Mashaka.
 
Mmh ulishasema ni hisia zako binafsi

Taasisi au kampuni haifanyi kazi kwa hisia/guts/Personal feelings/au Emotional za mtu

Mkuu wewe umefika kidato cha sita kweli?Kama ulifika kidato cha sita basi shule ulikuwa unakariri tu mambo hukuelewa

Na kama umefika chuo kikuu basi ndio wale ambao mmesoma vyuo vya voda fasta baadhi JPM alivufuta kwa kukimbilia vyuo hivyo ili mpate mteremko wa degree

Tangu lini taasisi ikawa judge na hisia za mtu au Personal experience za mtu

Taasisi inaendeshwa na Data na sio hisia

Dunia ya leo ukiongea mambo kwa hisia bila data hueleweki ni kama umbea na majungu tu

Leta Financial Statement za Yanga hapa au Financial statement za GSM hapa tuangalie umbea wako

Kupiga kelele bila taarifa zao za kifedha hueleweki mkuu,Tunahitaji Data na Facts

Walimu wako wa statics secondary huko walikuwa wanakufundisha kitu gani kama mambo madogo kama haya huyaelewi

Kiongozi taasisi yeyote inaendeshwa kwa data sio kwa hisia

Kama unaendesha mambo yako kwa hisia basi hata familia yako itakushinda maana kila wakati mke wako akipendeza unawaza anachepuka
 
Mmh ulishasema ni hisia zako binafsi

Taasisi au kampuni haifanyi kazi kwa hisia/guts/Personal feelings/au Emotional za mtu

Mkuu wewe umefika kidato cha sita kweli?Kama ulifika kidato cha sita basi shule ulikuwa unakariri tu mambo hukuelewa
hisia basi hata familia yako itakushinda maana kila wakati mke wako akipendeza unawaza anachepuka
Umemaliza kila kitu kama ajakuelewa basi atakuwa na kichwa kigumu🙌🙌
 
Inakuingia Akilini Kweli kuwa kama tuliaminishwa kuwa kwa sasa Yanga SC kuna Fedha huku GSM, Taifa Stars na Kiongozi Mstaafu wakiwa nyuma Kuihudumia Kipesa na hapo hapo Timu imeshinda Ubingwa wa NBC, ASFC na kufika Fainali ya CAFCC ambako kote huko imepata Pesa nyingi mno leo hii ikakimbiwa na Kocha Mkuu, Kocha wa Makipa na 65% ya Wachezaji wake Waandamizi walioipatia Mafanikio makubwa Timu hiyo?

Fikra zangu GENTAMYCINE zinanipeleka kuhisi kuwa huenda huko Yanga SC kuna matatizo makubwa ya Kipesa ila Uongozi na Matajiri tajwa wachache wanatumia nguvu Kubwa kuficha kwa Kuwahonga Waandishi wa Habari za Michezo nchini ili wasiseme.

Nimeenda mbali zaidi Kuwaza kuwa huenda Wachezaji hawa na Makocha walioondoka Roho zao zinawasuta kwakujua kuwa Mafanikio yao ya Vikombe na Kufika mbali Kimataifa kulitokana na Ujanja Ujanja (Chupli Chupli) ila siyo Uwezo halisia.

Ngoja tuone ila nina Mashaka.
time will tell
 
Jambo kubwa hapa ni kujua, Je, GSM ni mfadhili au mdhamini?
Walau nijuacho ni kwamba yeye ni mdhamini wa jezi za Yanga, kwamba atashughulikia upatikanaji wa jezi, kiasi fulani cha mapato kitakuwa chake na kiasi kingine cha klabu. Sasa kama kuna gharama nyingine alizoingia nje ya uandaaji wa jezi (kama usajili, mishahara nk), hilo sina uhakika limekaaje kimkataba iwapo alifanya ufadhili ambapo hatayagusa mapato ya Yanga, au liingiza udhamini kwamba itabidi arejeshewe kiasi fulani cha fedha baadhi ya mapato kuingia
 
Yanga inakukera sana??
Imekuwaje unashindwa kuzungumzia timu yako ya makolo.
Acha kuvimbisha shingo kijana.
Tafuta pesa uache stress za kijinga
Wewe kila mda unawaza upuuzi
Na akili zako niza pumba yani sijui kama ulienda shule.
Personal feelings kwenye masuala ya financial yanatoka wapi??
Kutoa maoni kwa kitu usichikijua ni uzwazwa
 
Inakuingia Akilini Kweli kuwa kama tuliaminishwa kuwa kwa sasa Yanga SC kuna Fedha huku GSM, Taifa Stars na Kiongozi Mstaafu wakiwa nyuma Kuihudumia Kipesa na hapo hapo Timu imeshinda Ubingwa wa NBC, ASFC na kufika Fainali ya CAFCC ambako kote huko imepata Pesa nyingi mno leo hii ikakimbiwa na Kocha Mkuu, Kocha wa Makipa na 65% ya Wachezaji wake Waandamizi walioipatia Mafanikio makubwa Timu hiyo?

Fikra zangu GENTAMYCINE zinanipeleka kuhisi kuwa huenda huko Yanga SC kuna matatizo makubwa ya Kipesa ila Uongozi na Matajiri tajwa wachache wanatumia nguvu Kubwa kuficha kwa Kuwahonga Waandishi wa Habari za Michezo nchini ili wasiseme.

Nimeenda mbali zaidi Kuwaza kuwa huenda Wachezaji hawa na Makocha walioondoka Roho zao zinawasuta kwakujua kuwa Mafanikio yao ya Vikombe na Kufika mbali Kimataifa kulitokana na Ujanja Ujanja (Chupli Chupli) ila siyo Uwezo halisia.

Ngoja tuone ila nina Mashaka.
Mpira gharama kaka unalinganisha Yanga na Kaizer Chief
 
Back
Top Bottom