GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Rais akitoka bara basi makamu lazima atoke zenji.Rais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi
Nawasilisha.
Jaffo ni wa 2025, alafu mwinyi ni wa Zanzibar, ridhiwani anakuwa waziri wa Nishati na Madini,
GENTAMYCINE ina maana hufahamu kuwa ķulingana na Katiba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitoka Tanzania Bara Makamu wa Rais ni LAZIMA atoke Zanzibar and vice versa?Rais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi
Nawasilisha.
Rais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi
Nawasilisha.
Unamzungumzia huyu Jafo aliyeonyeshwa pipe culvert sehemu ya kujenga box culvert Barbara ya Sabasaba to Buswelu Mwanza au Jafo mwingine na aliyeshindwa kujua kuwa wachina wanapiga wafanyakazi na kuwatukanaRais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi
Nawasilisha.
Zanzibar cheo cha waziri kiongozi kilishafutwa.Rais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi
Nawasilisha.
Ina maana Lema alipiga fix ile ndoto yake?
Ila hatimiliki ya wewe kufika 2020 unayo. Alafu apo kwa makamu(Kasimu Majaliwa) umechapia,rais akitoka upande mmoja ,makamu lazima atoke upande wa pili wa muungao(Sioni uwezekano wa katiba kubadilika kabla ya 2020 )Ulishawasiliana labda kwa njia ya Ujumbe / Meseji / Rununu au Kupiga Simu Mbinguni kwa Muumba na mwenye ' Pumzi ' yake hii Mwenyezi Mungu na akakuhakikishia kabisa kuwa Wewe una yohatimiliki ' ya Uhai wa mpaka kuufikia huo mwaka wa 2025 pamoja na hao ' Watajwa ' wako?
Kweli uyu ata uwaziri bado amepwaya sanaUnamzungumzia huyu Jafo aliyeonyeshwa pipe culvert sehemu ya kujenga box culvert Barbara ya Sabasaba to Buswelu Mwanza au Jafo mwingine na aliyeshindwa kujua kuwa wachina wanapiga wafanyakazi na kuwatukana
Uwe unasoma kwanza matakwa ya Katiba kisha unaandika wazo lakoRais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi
Nawasilisha.
Ahahahha Lema bwana yeye huwa anaoteshwa matatizo kwa wengine lakini yeye yake....unazungumzia ile ndoto ya kutisha ya kufa kufa???
Kwa ile hati yake ya mwanzo haya makosa ya kikatiba yasingegundulika kiurahisi kutokana na watu kushindwa kusoma kiurahisi.Uwe unasoma kwanza matakwa ya Katiba kisha unaandika wazo lako
Hapo kwa makamo wa Raisi haitawezekana kutokana na muunganoRais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi
Nawasilisha.