Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar cheo cha waziri kiongozi kilishafutwa.
2020 mbona mbali kote? Anaweza hata asiumalize huu mwaka.Mmesahau kuwa Mungu naye yupo. Huyo mnayemsema atakuwepo mpaka 2025 anaweza ondoka kabla ya 2020
Leo una mawingu kichwani, haiwezi kutokea Rais na makamubwatoke bara, Jafo pia hawezi kuwa Kiranja mkuu hivi karibuni.Rais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi
Nawasilisha.
Unamzungumzia huyu Jafo aliyeonyeshwa pipe culvert sehemu ya kujenga box culvert Barbara ya Sabasaba to Buswelu Mwanza au Jafo mwingine na aliyeshindwa kujua kuwa wachina wanapiga wafanyakazi na kuwatukana
Ahahahha Lema bwana yeye huwa anaoteshwa matatizo kwa wengine lakini yeye yake....