Uchaguzi 2020 Hivi kwa mfano mwaka 2020 ikiwa hivi itakuwaje?

Uchaguzi 2020 Hivi kwa mfano mwaka 2020 ikiwa hivi itakuwaje?

Ataondokaje? Mimi na were hatujui, Mungu ajua! Huwezi kutesa watu hivi halafu Mungu akakuangalia tu
 
Rais JPM kama kawaida
Makamu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Suleman Jaffo


Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mama Samia Suluhu Hassan
Waziri Kiongozi Dkt. Hussein Mwinyi


Nawasilisha.
Leo una mawingu kichwani, haiwezi kutokea Rais na makamubwatoke bara, Jafo pia hawezi kuwa Kiranja mkuu hivi karibuni.
 
Unamzungumzia huyu Jafo aliyeonyeshwa pipe culvert sehemu ya kujenga box culvert Barbara ya Sabasaba to Buswelu Mwanza au Jafo mwingine na aliyeshindwa kujua kuwa wachina wanapiga wafanyakazi na kuwatukana

Unaonekana una ' Chuki ' nae binafsi Mkuu. Hebu mtafute mmalizane ' Kistaarabu ' tu.
 
Back
Top Bottom