BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Tanzania kuna madini ambayo mchina anaweza kwenda kutumia kama ghafi.
Kenya wana nini? Hii biashara na mchina watafanyaje?
Kahawa wachina hawanywi, chai ndo vinara wa kuzalisha.
Au watanunua nchi maana nimemsikia his Excellency anasema the land he supposedly got illegally has been his even before he was born and before independence.
Are pingli-nywee and Co returning to chains?
Just asking
Kenya wana nini? Hii biashara na mchina watafanyaje?
Kahawa wachina hawanywi, chai ndo vinara wa kuzalisha.
Au watanunua nchi maana nimemsikia his Excellency anasema the land he supposedly got illegally has been his even before he was born and before independence.
Are pingli-nywee and Co returning to chains?
Just asking