Hivi kwa nini Mbowe huwa hapigi amshaamsha ya kutosha kuwadai wanachadema wanaotekwa na kupotezwa?

Hivi kwa nini Mbowe huwa hapigi amshaamsha ya kutosha kuwadai wanachadema wanaotekwa na kupotezwa?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake waliotekwa na kupotezwa!.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
 
Jibu ni hili, toka mbowe atoke jela na kwenda home kuoga kisha fasta kwenda ikulu siku hiyo ndio ilikuwa rasmi kwake kuyaaga mapambano ya chadema dhidi ya ccm na hususani mama abdul!!!.

Unachozungumza ni kama kinafikirisha sana maana Mbowe wa kabla ya kwenda jela na Mbowe wa baada ya kutoka jela ni watu wawili tofauti.
 
Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
Ana agano binafsi na Samia. Ile ya Mzee Kibao yeye ndiye alitoa assist kwa wale wasiojulikana kwani Mzee alikuwa anajua mengi ya miamala ya Abdul kwa Mbowe na genge lake.
 
Unachozungumza ni kama kinafikirisha sana maana Mbowe wa kabla ya kwenda jela na Mbowe wa baada ya kutoka jela ni watu wawili tofauti.
Na kama Mbowe akiendelea kuwa mwenyekiti tena basi Chadema itakuwa rasmi ni CCM B,maana nguvu aliyoweka Samia na vyombo vya dola kumsaidia Mbowe ni ishara tosha kuwa Chadema ya Mbowe itakuwa ni tawi la CCM.
 
Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
mbowe anaonekana ni inside man wa kufanikisha missions hizo za kuteka watu ndani ya chadema. inavyoonekana kama anajua kila kitu kinachoendelea kuhusu mipango hiyo, usimuamini hata kidogo.
 
Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
Erythrocyte
 
Endeleeni kuandika uongo, sisi tuko kwenye kampeni, mimi ni miongoni mwa Wagombea

Mfano mdogo ni huu, Je hapa Mbowe alikamatwa akiuza gongo?

Screenshot_2024-09-25-20-18-05-1.png
 
Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
Jaribu kufuatilia hata youtube, aliyewataja akina Mafwele na namba zao za simu alikua Mbowe. Na kwamba wanateka watu na kutembea nao kwenye magari kama misukule na hawawaandikishi vituoni.

Upande wa usalama wa chama ni mara 100 Mbowe abakie kuliko kurisk kwa Mh. Lissu.
 
Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake waliotekwa na kupotezwa!.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
Anasiri nyingi huyu baba alooh!

Kuna siku Atasimulia mbele za Mungu wake mema na mabaya alofanya wakati wa uhai wake hasa kwenye hizi siasa zake
 
Lissu anazijua siasa za pressure na angekuwa kila siku anawaambia mabalozi wa Nchi za Wababe wakate misaada mpaka pale huyu Mama atakapoacha kutumia nguvu kuzuia maandamano yetu ya kudai HAKI ya kujua walipo Wanasiasa na Wanaharakati waliopotea na kwanini wanauwawa.

Lakini Mbowe Siasa zake ni very old fashioned.

Tunataka michakamichaka kama ya Kenya mpaka Mtawala aheshimu Wananchi.
 
Lissu anazijua siasa za pressure na angekuwa kila siku anawaambia mabalozi wa Nchi za Wababe wakate misaada mpaka pale huyu Mama atakapoacha kutumia nguvu kuzuia maandamano yetu ya kudai HAKI ya kujua walipo Wanasiasa na Wanaharakati waliopotea na kwanini wanauwawa.

Lakini Mbowe Siasa zake ni very old fashioned.

Tunataka michakamichaka kama ya Kenya mpaka Mtawala aheshimu Wananchi.

Halafu anataka aendelee kuwa mwenyekiti wakati makada wake wanatekwa na kupotezwa na yeye amekaakaa tu haonyeshi hasira wala fire
 
Jaribu kufuatilia hata youtube, aliyewataja akina Mafwele na namba zao za simu alikua Mbowe. Na kwamba wanateka watu na kutembea nao kwenye magari kama misukule na hawawaandikishi vituoni.

Upande wa usalama wa chama ni mara 100 Mbowe abakie kuliko kurisk kwa Mh. Lissu.
Anawajua waliomteka Soka lakini hapigi amshaamsha ya kuwadai makada na wake, kwa nini anapotezea?
 
Back
Top Bottom