Hivi kwa nini Mbowe huwa hapigi amshaamsha ya kutosha kuwadai wanachadema wanaotekwa na kupotezwa?

Hivi kwa nini Mbowe huwa hapigi amshaamsha ya kutosha kuwadai wanachadema wanaotekwa na kupotezwa?

Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake waliotekwa na kupotezwa!.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
Wanadaiio amelamba asaliiiii.....
 
Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake waliotekwa na kupotezwa!.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
Hata lisu hataweza kuwaokoa wanaotekwa zaidi ya kubwabwaja
 
Jibu ni hili, toka mbowe atoke jela na kwenda home kuoga kisha fasta kwenda ikulu siku hiyo ndio ilikuwa rasmi kwake kuyaaga mapambano ya chadema dhidi ya ccm na hususani mama abdul!!!.
Kwenda ikulu kwa mwaliko wa rais ndiko kunamfanya lisu awe mwehu maana ikulu atausikia tu
 
Ndugu Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema, ndiye kiongozi wa ngazi ya juu zaidi wa chama hicho.

Kama ilivyoada kwa kiongozi yeye ndiye kama baba wa familia, ana wajibu wa kujali usitawi wa makada wake, kuwalinda na kuwatetea na kuwafariji.

Hata hivyo huwa nashangazwa na Mbowe ambaye yeye kama mfariji mkuu wa wanachadema huwa haonyeshi Consitence ya kutosha na Pressure ya kutosha kuwadai makada wake waliotekwa na kupotezwa!.

Hebu fikiria ishu ya Deusdedith Soka. Baada ya Soka kutekwa, Mbowe aliitisha press conference akataja hadi maaskari waliohusika kumteka Soka. Lakini toka hapo hajawahi kuonyesha consistence ya kutosha ya kupiga presha ya kutosha ya kisiasa kumdai Soka na wenzie.


Hili jambo linaleta walakini hasa ukizingatia Mbowe katika press conference hiyo alisema wazi kuwa ANA UWEZO WA KUITISHA CIVIL DISOBEDIENCE kama njia ya kushinikiza haya mambo yakome. Nashangaa Mbowe kumbe kitu cha kufanya hadi kuhakikisha Soka na wenzie wanapatikana anakijua lakini yeye hafanyi hivi.

1. Sasa mtu ambaye makada wake wanatekwa na kupotezwa yeye yupo yupo tu ameng'aang'aa macho.

2. Mtu ambaye Kuna madai msaidizi wake alitekwa na kuuawa (Ben Saanane), Lakini yeye yupo tu hapigi presha uchunguzi ufanyike na haki ya familia ya msaidizi wake ipatikane.

3. Mtu ambaye CCM inawachezea rafu na magumashi kibao katika chaguzi, halafu yeye yupoyupo tu, na wala haonyeshi zeal au uwezo wa kuinvoke peoples power.

Huyu Mwenyekiti dhaifu na legelege anafaaje kuendelea kukalia nafasi hiyo?

Mwamba siyo mwamba tena tunayemjua, keshageuka tofali lenye upungufu wa simenti, hamna kitu tena hapo. Aachie ngazi tu.
Nazipenda sana mbio za mende, ila ananichukiza akienda kwenye mauchafu halafu anakula chakula changu, mdudu huyu waajabu ukilala haingii mdomoni unapokuwa umelala fofo
 
Back
Top Bottom