Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anakopa au ana azima!!maana umeongea habari ya kurudisha kwa hiyo ulimu(wa)azima?
kwa mfano hapo ange google vipi!!Hivi kwa nini maswali mengine tusiwe tuna google?? Kuliko kujaza saver?
Hata wazungu wanakopa nguo na viatu siku hizo?Nimeingizwa mkenge.nisaidieni nifanyeje ili watu walete pesa jamani.number Za simu wanebadilisha
pole,nadhani hadi ukamwamini kumkopesha unamfahamu japo kidogo!!wazukie makwao au hata makazini kwao!!Nimesema pesa haleti
kwa kuandika hilo swali lake sehemu ya uwazi chini ya nembo ya google.kwa mfano hapo ange google vipi!!
ha ha ha ha ha!!nimefurahi!kwa kuandika hilo swali lake sehemu ya uwazi chini ya nembo ya google.
Hata wazungu wanakopa nguo na viatu siku hizo?
pole,nadhani hadi ukamwamini kumkopesha unamfahamu japo kidogo!!wazukie makwao au hata makazini kwao!!
hapo sasa ndo shughuri ilipo!! Natalia wabongo wa leo si wale wa enzi za mwalimu!!uaminifu zero hasa wakijua huwezi kuwakamatia home au ofcn inakuwa ngumu!!!anyway lets assume wako busy one day watakutafuta!!Naishi USA biashara bongo