kwani hujui nacho ni kidonda kinatoneshwaga. Cheseya kulala weyeeKidonda nacho kinaanzia na K
Nimemuachia amalizie mwenyewe tu kimoyo moyo yani sithubutu kutamkawee usiitamke bhana Mods siku hiz hawana uvumiliv
kumbe saa nyingine na wewe unakuwaga na akili za usiku, nikitafsiri inakuwa UKE mkuu, sijui hiyo KU ulitaka kuandika niniMkuu hebu itafsiri tuone itakuwaje....1,2,3 KU...
Sema we nae umooo, ulijuaje lakini
Hahahahahaha asante sana kwa kunichekesha sana jioni hiimkuu hii KULALA yanii ni nouma akina Samsoni daudi kwenye ze baibo walishindwa kuvumilia kabisa licha ya miguvu yao ya ajab lakini wakanywea na kuwa wadogo kama piriton na kumbuka walikuwa wanaongea na Mungu uso kwa uso kupitia manabii watakatifu. Sasa je sisi kizazi cha ngeseki eti manabii wetu ni akina gwajima na mzee wa upako si ndio hopeless kabisa mbele ya hii makitu
Kwani tigo nayo tamu???..Mbona tigo haianzi na K?
Hahahahahaha asante sana kwa kunichekesha sana jioni hii
Funguka ipi tena hiyo KNahisi kuna k nyingine umeisahau
Siku ya gurio katereroπKaterere
uwo upumbavu wa zaman? topc za kitoto sana[/QUOTEUna jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako.
Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako.uwo upumbavu wa zaman? topc za kitoto sana
mpuuzi sana sijui ana umri ganiuwo upumbavu wa zaman? topc za kitoto sana
Ebwana wana JF mzuka!
Kila mara huwa najiuliza hivi kwa nini vitu vingi vinavyoanza na herufi K ni vitamu sana mfano kalmati, kachumbari, keki, kitumbua kuku.
Naaaaaammmm na hii ndio tamu kuliko vyote acheni mungu aitwe mungu. Ebu yaangalie yalivyokodoa mimacho huku mapigo ya moyo yakienda kasi ya ajab huku yakiendelea kusoma kwa shauku kujua ni nini. Si maanishi iyo makitu bhana. Namaanisha KULALA!!!π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘
Dah Poleni sana wadau!π
Usiku mwemaπ±