Hivi kwa nini vitu vingi vinavyoanza na herufi "K" ni vitamu sana?

Hahahahahaha asante sana kwa kunichekesha sana jioni hii
 


Na wewe kwa uwongo? Mbona Jamii Forum haina herufi ya K lakini tamu shinda K...lenyewe, na iko addictive katika kila style uitakayo kwani inakuballika kitandani, mtaani, ndani ya dala dala, kazini, chooni, upende usipende lazima utaperuzi tu ili upate uhondo murua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…