FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
halafu cjui huwa mnajickiaje jamani, mdada kalala na watu zaidi ya wa3 kwa mkupuo, na wewe unaenda tena, hivi hamna kinyaa kabisa, mijasho cjui nini khaa...
sijui huwa wanafanya na Romance cause hili tendo lazima muandaane ..mmh hatari
..Nyamayao, hata mama lishe sahani ikitumiwa na mteja anasafisha kwanza ndio anampakulia chakula mteja mwingine. Same to dada poa unadhani wanahudumiwa wateja wao kihivyo ufikiriavyo? Halafu uzuri wa dada poa bana unapata varieties sio kama nyie mnaojifanya wa geti kali kumega mara moja kwa mwezi, gharama na usumbufu kibao,na hakuna varieties!! Dada poa ukimalizana nae no addition costs, kesho mkikutana kama hamjuani, hakuna vi-sms na kubeep beep na mazinga ya vocha za simu!!!!halafu cjui huwa mnajickiaje jamani, mdada kalala na watu zaidi ya wa3 kwa mkupuo, na wewe unaenda tena, hivi hamna kinyaa kabisa, mijasho cjui nini khaa...
Hivi wanyama huwa wanakuwa na mchakato pia?
halafu cjui huwa mnajickiaje jamani, mdada kalala na watu zaidi ya wa3 kwa mkupuo, na wewe unaenda tena, hivi hamna kinyaa kabisa, mijasho cjui nini khaa...
Hapa ni satisfaction guaranteed,na kama hujawahi kuwa na dada poa basi nakushauri usithubutu,sababu unaweza chonga mzinga,kwanza hawana tabia za kishamba za kupigana mizinga,na wanakupokea kwa nyuso za furaha,pia ukishamaliza mishughuliko unapewa na akhsante plus karibu tena!!Hivi wanyama huwa wanakuwa na mchakato pia?
..Big Up Mkuu...Na hakuna uwezekano wa kutotumia condom unakuwa unajua wazi kuwa hauko peke yako!!! Tofauti na hawa wachumba wetu unajifanya uko peke yako kumbe mko kibao mara Oooh nimemzoea huyu ngoja tugonge STERIO ndio tabu zinaanzia hapo....! I like it.Hapa ni satisfaction guaranteed,na kama hujawahi kuwa na dada poa basi nakushauri usithubutu,sababu unaweza chonga mzinga,kwanza hawana tabia za kishamba za kupigana mizinga,na wanakupokea kwa nyuso za furaha,pia ukishamaliza mishughuliko unapewa na akhsante plus karibu tena!!
Jibu ni ulimbukeni na ujinga uliowatawala vichwani mwao. Ila kwa wale wasiolipa ndio huitwa wanaume rijali na shupavu awezae kukabiliana na vishawishi. Na ni wanaume wachache sana wenye ubavu huo.
sijui huwa wanafanya na Romance cause hili tendo lazima muandaane ..mmh hatari
Mwanaume aliyeamua kwenda kuchukua changudoa lazima tamaa za mwili zinakuwa zimezidi kwa hiyo jogoo linakuwa limeshapanda mtungi...hahitaji romance wala kuandaliwa.
Changudoa anayechukuliwa yuko kazini, na kwa sababu analipwa pesa, hahitaji ''sexual satisfaction'' na kwa hiyo hahitaji kuandaliwa!
na kwa wale ambao wanawake ndo wanatoa mahari!!!???Kwa kuwa Ibra (mchokoza mada) yeye ameuliza kwanini wanaume hulipia ngono?
Hiyo ndiyo mada yenyewe, mimi ningependa kujibu kama ifuatavyo: Mwanaume analipia ngono kwa kuwa ni mapokeo ya tangu zama kama ambavyo ili ndoa ikamilike ni lazima mwanamume alipe mahari ndipo suala hili litambulike na jamii kwamba ni ndoa halali. Naamini hili ndilo jibu.