kuna mdada mmoja nilishawai kumhoji, yeye ameshaathirika tayari, kwa kweli ukimwangalia kwa macho ya kibinadamu, ni mzuri sana sana, mweupe na umbo la kule kwa kina mwakipesile....na mwanjelwa...alikuwa anafanya kazi ya bar pale sai kwa wale waliofika mbeya, kuna bar moja pale ilivuma sana kipindi cha nyuma, mwenye nayo alienda kukodi machangu toka dar kabisa akawamwaga pale kwenye bar yake ili kuvutia wateja...watu walikuwa wanajaa.
Huyu ndo alitoa siri zote. Kwanza anaanza na yale magari ya "ukanda wa gaza" kwa wale wanaoyaona yanasafirisha mizigo toka bandari ya dar handi congo na zambia...wale watu ni wachafu ile mbaya, ndo wanaoharibu wasichana kinyume na maumbile...alitusimulia kuwa ameishia kutembea na toilet paper kwa sasa kwasababu kama akinywa maji mengi chakula tumboni kikawa laini mno, akicheka kwa nguvu au hata kukohoa tu, tayari yameshadondoka...kama hujavaa kufuli ndo utajiju.
Alitoa ratiba yake, yeye alisema kwa wiki alikuwa anafanya mara nne ila kwa siku moja anatoa mwanaume mmoja bia, mwingine soda...siku inayofuata anapumzika, anapumzika siku moja(juma tatu, jumatano,ijumaa,jumapili), na kwa siku anatoa bia moja"ukiambia bia" ni kinyume na maumbile, na soda moja "ndo hali ya kuingiliwa kawaida"...anasema walipomchoka kwasababu alikuwa banzoka chakachaka wakamhama kwasababu it is no more tight in either sides...akaishia kuhangaika, na ukimwi kapata, ndo kajishikisha kutangaza ukimwi na ngos ili apate ya kula...anajilaumu na anawashauri vijana wengi sana wasije jaribu mlango wa nyuma au hata uchangu..anatamani ujana ungerudi ili atengeneza maisha mazuri.
Wote wanaofanya hivyo, huwa wanakuja kujilaumu sana. yeye anasema, huwa wanatumia dawa za masai na toka kwa waganga, anaipakaa, au anaiweka kama kijiti ndani kwa muda kabla...mwanaume akiingia tu, anakohoa/cheka mapemaaa hivyo yeye hatochoka sana kwasababu jamaa kishacheka mapema...kama akiamua kurudia round ndo anaongeza hela tena kwa kucheka mapema...unaweza kuona hatari ya wanaume wengi wenye matatizo ya kucheka mapema...pengine mapepo/majini haya yanaambukizwa na wadada wanaowaokota barabarani, kwasababu kama wanaenda kuchukua dawa hadi kwa mganga, basi wana chukua majini/mapepo kuwaingia wanaume ili wacheke haraka, na wakiachana, jini linaweza kubaki na mwanaume yule akirudi kwa mkewe atakuwa anacheka haraka....think about it...wajinga ndo waliwao....