popcorn + cornflakes + ubuyu + ice creammtuache khaa!kwan unatoa pesa wewe! tena umenikumbusha popcorn zangu ngj niamke nizifate nitafune kutafta usingz
Kama anapenda kula muache tu chief ndo starehe yake!Hivi inakuaje unakuta mdada ni mrembo kisura mpaka figure matata. Ila ni mlafi balaa.
Yaani ulaji wake si wa kistaarabu. Kila kilicho mbele yake yeye twende.
Hii tabia naomba muiache mara moja maana mtakimbiwa sana zama hizi za wastaarabu
Huu ni ukorofi...[emoji20][emoji20]
i love u usimsikilizee njoo kwangu utakula kila kilicho mbele yako hata nguo wewe kula ntalipiadada emmyt njoo uone utafiti mwingine huku.
Kuna utofauti kati ya kula na urafi. Sikatai mtu kula. Kula kwa kipimo na kistaarabu. Sio umeona embe unabugia, bagia unabugia, mayai unabugia, sambusa twende, mara ice cream wewe. Hapo kwa wakati mmoja.Sasa hiyo figure anaipataje bila kula...? Mwili haujengwi kwa tofali
bora..i love u usimsikilizee njoo kwangu utakula kila kilicho mbele yako hata nguo wewe kula ntalipia
Jamani kula lazima kuoga hiyari!Hivi inakuaje unakuta mdada ni mrembo kisura mpaka figure matata. Ila ni mlafi balaa.
Yaani ulaji wake si wa kistaarabu. Kila kilicho mbele yake yeye twende.
Hii tabia naomba muiache mara moja maana mtakimbiwa sana zama hizi za wastaarabu
Vipi wewe haupo kundinidada emmyt njoo uone utafiti mwingine huku.
mwili aujengwi kwa tofaliVipi wewe haupo kundini
Mmmh haya mamamwili aujengwi kwa tofali
New. ?? habari za kwako?Sasa hiyo figure anaipataje bila kula...? Mwili haujengwi kwa tofali
Utadhani mnajua kulima..!dada emmyt njoo uone utafiti mwingine huku.
Anhaa kumbe basis ungeandika "kwa nn wadada wengi ni walafi?" Maana kupenda kula sana sio tatizoKuna utofauti kati ya kula na urafi. Sikatai mtu kula. Kula kwa kipimo na kistaarabu. Sio umeona embe unabugia, bagia unabugia, mayai unabugia, sambusa twende, mara ice cream wewe. Hapo kwa wakati mmoja.
Hapana jamani wadada acheni hizo mambo. Kama figure unayo unayo tu. Haiji kwa urafi