Hivi kwa nini Wanawake wengi wanapenda kula sana?

Hivi kwa nini Wanawake wengi wanapenda kula sana?

mtuache khaa!kwan unatoa pesa wewe! tena umenikumbusha popcorn zangu ngj niamke nizifate nitafune kutafta usingz
popcorn + cornflakes + ubuyu + ice cream

yaaani nisipo mnunulia moja kati ya hivyo au vyote basi huo mnuno sio wa kawaidaa....aisee!![emoji20]

ila napenda vile yuko free kula mbele yangu [emoji1][emoji1]
 
Hivi inakuaje unakuta mdada ni mrembo kisura mpaka figure matata. Ila ni mlafi balaa.

Yaani ulaji wake si wa kistaarabu. Kila kilicho mbele yake yeye twende.

Hii tabia naomba muiache mara moja maana mtakimbiwa sana zama hizi za wastaarabu
Kama anapenda kula muache tu chief ndo starehe yake!
 
58b55779f4b40c0c8de2a71ecebc7167.jpg
4ac5fd9592dca385c7a672d1ea3315ae.jpg
42990ecf3535874741a566a0971f2c67.jpg
aed533abb3443cb11a6a1cfe0f0ebbd8.jpg
1420b506665abe2fce281e73bc63708a.jpg
e5c252ab35efc4bea01ce63922094749.jpg
215d471fb06430bd01ae1fba5b1c121d.jpg
9a2c24d66a6ced9ae21f5a7895b64cc7.jpg
6fe184f7fcb41c0196940526f3192f59.jpg
73ec19777059b49310ed71b0a2dd7e77.jpg
Huu ni ukorofi...[emoji20][emoji20]
 
Sasa hiyo figure anaipataje bila kula...? Mwili haujengwi kwa tofali
Kuna utofauti kati ya kula na urafi. Sikatai mtu kula. Kula kwa kipimo na kistaarabu. Sio umeona embe unabugia, bagia unabugia, mayai unabugia, sambusa twende, mara ice cream wewe. Hapo kwa wakati mmoja.

Hapana jamani wadada acheni hizo mambo. Kama figure unayo unayo tu. Haiji kwa urafi
 
Hivi inakuaje unakuta mdada ni mrembo kisura mpaka figure matata. Ila ni mlafi balaa.

Yaani ulaji wake si wa kistaarabu. Kila kilicho mbele yake yeye twende.

Hii tabia naomba muiache mara moja maana mtakimbiwa sana zama hizi za wastaarabu
Jamani kula lazima kuoga hiyari!
 
Eat whatever you want and if anybody lectures on your weight eat them too
 
Binafsi nampenda mwanamke anaekula sana...labda km ckukuelewa ulimaanisha "wanapenda kulakula"
 
Kuna utofauti kati ya kula na urafi. Sikatai mtu kula. Kula kwa kipimo na kistaarabu. Sio umeona embe unabugia, bagia unabugia, mayai unabugia, sambusa twende, mara ice cream wewe. Hapo kwa wakati mmoja.

Hapana jamani wadada acheni hizo mambo. Kama figure unayo unayo tu. Haiji kwa urafi
Anhaa kumbe basis ungeandika "kwa nn wadada wengi ni walafi?" Maana kupenda kula sana sio tatizo
 
Back
Top Bottom