Hivi kwa nini wanywa bia wengi wana vitambi na wanywa gongo wamekonda sana?



Khaaaaa! Eti Bia moja ni Chapati 6
Umeamua kupotosha makusudi au ni kwa bahati mbaya tuu?
 

mkuu nimekukubali kumbe una uzoefu na hii mikitu
 
Ha ha haa mtu anakunywa huku anachungulia mgambo kama wanakuja atanenepa saa ngapi..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…