Hivi kwa nini wanywa bia wengi wana vitambi na wanywa gongo wamekonda sana?

Hivi kwa nini wanywa bia wengi wana vitambi na wanywa gongo wamekonda sana?

bia ni ngano chapati sita kwa chupa moja halafu ile unakunywa umerelax huku unarudhia na nyago za nyama ya mbuzi au kiti cha moto ,... full tabasamu.... wanywa gongo wanakunywa huku wakiwa kma wapo kwenye mbio za mita mia moja hawatuliii kabisa .. halafu kwenye gongo hamna nyama wala kurelax..


Khaaaaa! Eti Bia moja ni Chapati 6
Umeamua kupotosha makusudi au ni kwa bahati mbaya tuu?
 
bia ni ngano chapati sita kwa chupa moja halafu ile unakunywa umerelax huku unarudhia na nyago za nyama ya mbuzi au kiti cha moto ,... full tabasamu.... wanywa gongo wanakunywa huku wakiwa kma wapo kwenye mbio za mita mia moja hawatuliii kabisa .. halafu kwenye gongo hamna nyama wala kurelax..

mkuu nimekukubali kumbe una uzoefu na hii mikitu
 
bia ni ngano chapati sita kwa chupa moja halafu ile unakunywa umerelax huku unarudhia na nyago za nyama ya mbuzi au kiti cha moto ,... full tabasamu.... wanywa gongo wanakunywa huku wakiwa kma wapo kwenye mbio za mita mia moja hawatuliii kabisa .. halafu kwenye gongo hamna nyama wala kurelax..
Ha ha haa mtu anakunywa huku anachungulia mgambo kama wanakuja atanenepa saa ngapi..?
 
Back
Top Bottom