Hivi kwa nini watu hawamwogopi Mungu?

Hivi kwa nini watu hawamwogopi Mungu?

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Watu wanaiba kura kama akina Nape ambao walitangaza hadharani kabisa. Jamani mungu yupo na maisha haya ni mafupi sana. Andaeni maish ya uzima ambayo ni ya milele.

Kuna siku nimepta maona kuw Nyerere yuko mbinguni kwa sababu alitenda mema na kastahili. Sasa jamami tendeni mema
 
Back
Top Bottom