Kwani mdogo wangu unao wangapi?Hahaha.....
Mimi huwa najua kupitia mwandiko wake/wao
Wengi mno dada yanguKwani mdogo wangu unao wangapi?
Leo utakoma ngoja waje.Wengi mno dada yangu
Habari za asubuhi mkuu
Ni kwa kuacha kutongoza tu baada ya kumpata mmoja...Nadhani Jamiiforums ni moja ya mitandao yenye warembo na vijana wazuri saana.
Wengi wapo kwenye mahusiano tofauti na tunavyofikiria na yapo serious kabisa.
Na wengi wanamichepuko Yao humu humu. Sasa linalonishangaza ni kwa jinsi gani wanahakikisha hawawatongozi wapenzi wao wa zamani maana humu unaweza Kuta mtu ana ID zake nne au tano!
Kinachofanya niulize hili miaka michache kidogo nilijaribu kujitafutia mrembo humu week kadhaa hazikuisha kabla ya kupewa majibu kumbe nilishamtongozaga kwenye ID nyingine na tunawasiliana nje ya JF. Wakuu nyie hili mnaliepuka vipi?
Nitawajua/tayari nilishajua kuwatofautisha mkuu wala hawawezi kunikomesha[emoji3]Leo utakoma ngoja waje.
Ahahahahahaa...Kuna kenge zitakurupuka na zitanaswa na ndio itakuwa wamethibisha ule usemi wa kenge alieingia mkenge.. si nimeonya ila kenge huwa hawasikii majibu mtayapata hapahapa..๐คฃ
Mi namjua mboko!Ahahahahahaa...
Hivi kati ya kenge na kiboko, nani KIBOKO?
ULE MBOKO MKUBWA KABISA..!!Mi namjua mboko!
Ukizingua unakula hadi vichwa vya pua!ULE MBOKO MKUBWA KABISA..!!
Kwanza nilikumissNadhani Jamiiforums ni moja ya mitandao yenye warembo na vijana wazuri saana.
Wengi wapo kwenye mahusiano tofauti na tunavyofikiria na yapo serious kabisa.
Na wengi wanamichepuko Yao humu humu. Sasa linalonishangaza ni kwa jinsi gani wanahakikisha hawawatongozi wapenzi wao wa zamani maana humu unaweza Kuta mtu ana ID zake nne au tano!
Kinachofanya niulize hili miaka michache kidogo nilijaribu kujitafutia mrembo humu week kadhaa hazikuisha kabla ya kupewa majibu kumbe nilishamtongozaga kwenye ID nyingine na tunawasiliana nje ya JF. Wakuu nyie hili mnaliepuka vipi?
UNASEMAAA.!!!Kwanza nilikumiss
Nilimmiss kinoma nomaUNASEMAAA.!!!
Embu rudia..!!
Nimiss na mimi basiiiiiNilimmiss kinoma noma
Ukipata wawili naomba unigawie mmoja chief...Natamani nami nipate mmoja jamani wa JF. Mdada atakaelike hapa ndio huyo huyo nitamchukua๐๐๐ ๐