Hivi kwa walio na wapenzi JamiiForums na bado mnacheat mnajilindaje na kugundulika na wapenzi wenu?

Hivi kwa walio na wapenzi JamiiForums na bado mnacheat mnajilindaje na kugundulika na wapenzi wenu?

Nadhani Jamiiforums ni moja ya mitandao yenye warembo na vijana wazuri saana.

Wengi wapo kwenye mahusiano tofauti na tunavyofikiria na yapo serious kabisa.

Na wengi wanamichepuko Yao humu humu. Sasa linalonishangaza ni kwa jinsi gani wanahakikisha hawawatongozi wapenzi wao wa zamani maana humu unaweza Kuta mtu ana ID zake nne au tano!

Kinachofanya niulize hili miaka michache kidogo nilijaribu kujitafutia mrembo humu week kadhaa hazikuisha kabla ya kupewa majibu kumbe nilishamtongozaga kwenye ID nyingine na tunawasiliana nje ya JF. Wakuu nyie hili mnaliepuka vipi?
Dogo hujaacha tu ubazazi!!
 
Unajilipua tu ukiona hali tete unahamia kwingine hahaa
Umeongea kiuzoefu hatarii..!!! Hapo kwenye hali tete, unaweza ukafikia ile plastic limit, hakuna kurudia originl shape.. Unaibeba aibu nzima nzima
 
Hivi mnatumia vigezo gn kujipatia warembo humu?

Mimi kila nikiingia pm nakula block.

Au wanadhani avatar ndy picha yangu halisi ?
 
Back
Top Bottom