Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kaka nilete zile link?Kwanza kabla ya huko, hivi hua mnawapataje wadada wa humu ndani??
Mbona mie sijawahi kufanikiwa kula yeyote hapa..[emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka nilete zile link?Kwanza kabla ya huko, hivi hua mnawapataje wadada wa humu ndani??
Mbona mie sijawahi kufanikiwa kula yeyote hapa..[emoji849]
Embu ielezee avatar yakoNa avatar kama yako hiyo bonge la guu kuna watu wanachanganyikiwa huko[emoji23]
Potelea pwete, ndo maana nimesema ikipinda nasepa... full sitopu. Na tulivyo ving'ang'anizi sasaOna sasa [emoji1787] sifanani hata robo na huyo bibie shauri zako
Yangu si inaonekana hapoEmbu ielezee avatar yako
Na hamsikiagi nyie mpaka yawakute mazitoPotelea pwete, ndo maana nimesema ikipinda nasepa... full sitopu. Na tulivyo ving'ang'anizi sasa
Dogo hujaacha tu ubazazi!!Nadhani Jamiiforums ni moja ya mitandao yenye warembo na vijana wazuri saana.
Wengi wapo kwenye mahusiano tofauti na tunavyofikiria na yapo serious kabisa.
Na wengi wanamichepuko Yao humu humu. Sasa linalonishangaza ni kwa jinsi gani wanahakikisha hawawatongozi wapenzi wao wa zamani maana humu unaweza Kuta mtu ana ID zake nne au tano!
Kinachofanya niulize hili miaka michache kidogo nilijaribu kujitafutia mrembo humu week kadhaa hazikuisha kabla ya kupewa majibu kumbe nilishamtongozaga kwenye ID nyingine na tunawasiliana nje ya JF. Wakuu nyie hili mnaliepuka vipi?
Salama kabisa. Nimembandika kabisa hapo ili asijejisahau akaja tena pm kunitongoza.
Na ukijifanya msikivu HAKUNA PAHALA UTANYANDUA..Na hamsikiagi nyie mpaka yawakute mazito
Wewe kama mimi tu! Nimejaribu kujiuliza wakuu wanafanyaje na mm niige sijapata jibuKwanza kabla ya huko, hivi hua mnawapataje wadada wa humu ndani??
Mbona mie sijawahi kufanikiwa kula yeyote hapa..[emoji849]
Vizuri sana kama ni salama kabisaSalama kabisa. Nimembandika kabisa hapo ili asijejisahau akaja tena pm kunitongoza.
[emoji16][emoji16]Na ukijifanya msikivu HAKUNA PAHALA UTANYANDUA..
Sio nyingi sana.Vizuri sana kama ni salama kabisa
Kwani una I'd moja/ngapi mkuu?
Unajilipua tu ukiona hali tete unahamia kwingine hahaaWewe kama mimi tu! Nimejaribu kujiuliza wakuu wanafanyaje na mm niige sijapata jibu
Afu ujuwe umenisababisha niifungue avatar ya Amehlo na kuichunguza.. Nimeona nne..Na avatar kama yako hiyo bonge la guu kuna watu wanachanganyikiwa huko[emoji23]
Umeongea kiuzoefu hatarii..!!! Hapo kwenye hali tete, unaweza ukafikia ile plastic limit, hakuna kurudia originl shape.. Unaibeba aibu nzima nzimaUnajilipua tu ukiona hali tete unahamia kwingine hahaa
Yaani ukianza kuimajini amekuviringisha na guu lile, UNAJTOSA MZIMA MZIMA, huku ukisema liwalo na liweBonge la guu
Haya sasa kumekucha tayariIla ni zaidi ya moja?
Ulishawahi kuniagiza kitu chochote au siyo wewe?