The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
serikali ya mama itajenga darajaToo limited,Yan option za haraka kutika huko ni mbili tu.
Otherwise kupiga mbizi.
Tena option hizo lazima zikucheleweshe na Kwa cost kubwa.
Hata bolt mara nyingi uki-request wanacancel.
Tuna maeneo huko lakini kila nikiwaza Naina Bora nikae kibaha tu
Jifunzeni kuogelea ama uhamie kisemvuleVijana wengi wenye harakati zao hapa mjini utasikia wakisema ooh mimi siwezi kuishi kigamboni, mara usafiri wa taabu sana, ivi hii changamoto itakuja kuisha kweli?
View attachment 3160839
Kigamboni uta enjoy kama shughuli zako ni huku huku, ila kama kila siku inakubidi kuvuka, ni kero sanaToo limited,Yan option za haraka kutika huko ni mbili tu.
Otherwise kupiga mbizi.
Tena option hizo lazima zikucheleweshe na Kwa cost kubwa.
Hata bolt mara nyingi uki-request wanacancel.
Tuna maeneo huko lakini kila nikiwaza Naina Bora nikae kibaha tu