Hivi kwanini Awesu Awesu haitwi Stars?

Hivi kwanini Awesu Awesu haitwi Stars?

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1732300883480.png

Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.

Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
 

Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.

Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
Hana mtu pale Stars. Amekosa connection
 
Uwesu anajua boli.
Ila anatakiwa kujifua zaidi ili awe na pumzi dakika 90.

Omari Omari ajitafakari.
Umri wake ni mdogo ila anachofanya uwanjani hakieleweki kabisa.

Ni bora Kabaraka acheze kuliko huyo dogo.
Timu kubwa ikikupa nafasi ya kucheza ni lazima uoneshe Ubora wako ili uaminike kwa Kocha na Mashabiki.

Cc Lucha and Omari
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 

Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.

Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
Kiukweli Awesu uwezo wake bado sana. Anawika kwenye timu ya kawaida halafu unataka aitwe Taifa Stars? Aongeze bidii anayonafasi kuja kufanya vizuri timu ya taifa ila kwa sasa hapana aseeh, Awesu bado

No hard feelings
 
Kiukweli Awesu uwezo wake bado sana. Anawika kwenye timu ya kawaida halafu unataka aitwe Taifa Stars? Aongeze bidii anayonafasi kuja kufanya vizuri timu ya taifa ila kwa sasa hapana aseeh, Awesu bado

No hard feelings
Huna lolote unalofahamu kuhusu uwezo wake uwanjani nenda kachambue mchele bibie
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Huna lolote unalofahamu kuhusu uwezo wake uwanjani nenda kachambue mchele bibie
Shida yenu makolo mnaujua mpira kwa kuizunguka Simba. Mtu akija na hoja yenye ishara ya kubeza badala umjibu kwa hoja unaanza kutukana. Ishara ya upungufu wa akili.

Sasa twende kwenye facts, katika viungo Na mawinga Wote walioitwa Stars nambie anaenda kuchukua namba ya nani akamchallenge kweli. Nasisitiza punguza hisia tujadili mpira kwa uelewa kama watu tulioelimika
 
Shida yenu makolo mnaujua mpira kwa kuizunguka Simba. Mtu akija na hoja yenye ishara ya kubeza badala umjibu kwa hoja unaanza kutukana. Ishara ya upungufu wa akili.

Sasa twende kwenye facts, katika viungo Na mawinga Wote walioitwa Stars nambie anaenda kuchukua namba ya nani akamchallenge kweli. Nasisitiza punguza hisia tujadili mpira kwa uelewa kama watu tulioelimika
Upungufu wa akili unao wewe,kiwango cha Awesu inaonekana,na pia anaweza akaitwa sasa we unasema hana kiwango unaongea kama nani?Kama Mwamnyeto anaitwa sembuse Awesu?
 
Awesu Hana uwezo wakuitwa stars Ila Ana potential ya kuwa mchezaji mzuri kama kiwango chake kitakuwa consistent
 
Upungufu wa akili unao wewe,kiwango cha Awesu inaonekana,na pia anaweza akaitwa sasa we unasema hana kiwango unaongea kama nani?Kama Mwamnyeto anaitwa sembuse Awesu?
Hakuna sehemu nimesema hana ila kiwango. Kiwango chake cha kawaida sio cha kushtua kama mnavyo mhype hapa. Lakini pia bado hujajibu swali langu
 
Back
Top Bottom