Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tuna enjoooy...Unajigunika mablanket tuu kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna enjoooy...Unajigunika mablanket tuu kwa sasa
Hana maajabuNilikuwa najiuliza hili swali.
We nawe ujapelekwa tu milembe hadi leoSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.View attachment 3159200
Furaha yenu basi msitusahau na sie wapenda mashangaziTuna enjoooy...
Mashangazi wengine sie tuko limited... 🤣 🤣 🤣 🤣Furaha yenu basi msitusahau na sie wapenda mashangazi
Mchezaji wa kawaida sana, aitwe pale aachwe nani.
Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.
Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
Acha chuki mjombaMara ya mwisho amefunga miaka mitatu iliyopita
Nyie ni limited edition au sioMashangazi wengine sie tuko limited... 🤣 🤣 🤣 🤣
Galasa.
Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.
Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
SwadaktaaaaNyie ni limited edition au sio
Sawa. sindano fc.Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3159200
Huko KIZIMKAZI alishaitwa?
Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.
Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
Bonge la mchezaji
Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.
Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
We zoba kweli. Simba ni timu ya kawaida? Au hujui hata anacheza timu gani?Kiukweli Awesu uwezo wake bado sana. Anawika kwenye timu ya kawaida halafu unataka aitwe Taifa Stars? Aongeze bidii anayonafasi kuja kufanya vizuri timu ya taifa ila kwa sasa hapana aseeh, Awesu bado
No hard feelings