Hivi kwanini Awesu Awesu haitwi Stars?

Hivi kwanini Awesu Awesu haitwi Stars?

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.View attachment 3159200
We nawe ujapelekwa tu milembe hadi leo
 
Ana medali yoyote ya CAF? Au angalau ameshawahi kucheza club kubwa kama Young africans? kama Msuva, Mzize, Bacca, Job n.k? Tofauti na hapo ni rasta tu kama waimba raggae wengine
 

Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.

Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
Mchezaji wa kawaida sana, aitwe pale aachwe nani.
 
Namba anazocheza atamtoa nani pale. Hebu jifanye kocha kikosi hiki cha mwisho kilichoitwa kwenye match za mwisho ukiambiwa pale mbele umtoe mtu aingie awesu ni nan utamtoaaaa

Still nafas anayo akaze buti
 
Simba kwanza.hata asipoitwa sawa tu.huyo ni mali ya simba.sio ya umma
 
Una lazimisha aitwe timu ya taifa ili hali uwezo wake bado haujawashawishi makocha wa timu ya taifa? Ikiwa wewe ndiye huyo aweso mibangi rasta man unajipgia promo basi nakushauri kajikite kutengeneza pumzi za kuhimiri dk90 kisha uje tena na uzi wako uchwara wa kujipgia promo. Timu ya taifa si kwa kila mtu!
 

Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.

Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
Galasa.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3159200
Sawa. sindano fc.
 

Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.

Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
Huko KIZIMKAZI alishaitwa?

aache back pass ili amshawishi mjomba wake amwite huko urojooni kwanza
.
 

Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa.

Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars lkn cjui shida nn, au kuchezea stars ni mipango pia
Bonge la mchezaji
 
Kiukweli Awesu uwezo wake bado sana. Anawika kwenye timu ya kawaida halafu unataka aitwe Taifa Stars? Aongeze bidii anayonafasi kuja kufanya vizuri timu ya taifa ila kwa sasa hapana aseeh, Awesu bado

No hard feelings
We zoba kweli. Simba ni timu ya kawaida? Au hujui hata anacheza timu gani?
 
Back
Top Bottom