sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
naomba unifafanulie brand inavyofanya bei kutofautiana mkuu.Brand, Quality na Demand ndo vinafanya product kutofautiana bei pakubwa.
bei gani?Tunda lenyewe tuu ghali...
Kitu kitu inaitwa 'positioning' kwenye soko..kama maji ya kilimanjaro yanavyojifanya matawi wakati yana chumvinaomba unifafanulie brand inavyofanya bei kutofautiana mkuu.
Buku tu..wakati dodo la ukweli buku jero mpaka mbilibei gani?
1000/=tshs,.inategemea pia na eneo.bei gani?
unaweza mkuu ni maamuzi tu! hata bidhaa ya ukwaju unawezaHivi siwezi kutengeneza bidhaa mbadala kwa kutumia mapera?
Brand, Quality na Demand ndo vinafanya product kutofautiana bei pakubwa.
Matangazo ndio yanaifanya iwe bei juu.Nataka kufahamu kwa nini bidhaa za ki electronic za kampuni ya Apple ni ghali sana, kuanzia simu, ipad desktop nk.
sijaelewa bado kaka... usinichoke.Kitu kitu inaitwa 'positioning' kwenye soko..kama maji ya kilimanjaro yanavyojifanya matawi wakati yana chumvi
Quality,taste(nakumbuka alimwambia bill gates bidhaa zake hazina taste),gharama ya utengenezaji kule US na positioning sokoniQuality ndio siri ya mafanikio yao
sijaelewa bado kaka... usinichoke.Kitu kitu inaitwa 'positioning' kwenye soko..kama maji ya kilimanjaro yanavyojifanya matawi wakati yana chumvi
Kwa mfano ukianzisha maji ukayaita daby..hyo daby ni brand..kinachofuata unataka bidhaa yako ikae wapi sokoni,iwe ya watu matawi,kati au kajamba nani..hiyo wanaita positioning..sijaelewa bado kaka... usinichoke.
brand ni nini? inahusikaje kwenye kuchangia bei ya Iphone?
Ila iphone shughuli nyingine ndugu,vitu vingi-vya kuchezea sema tu havina maana kwa mtu mwenye mambo mengiili wawauzie washamba na limbujeni wanao ona simu ya laki tano haina quality ila ile ya milioni mbili ndio yenyewe
ukiwauliza quality gani wanayozungumzia hawakytajii