Hivi kwanini CHADEMA mpo wanyonge sana?

Hivi kwanini CHADEMA mpo wanyonge sana?

Isolated case?

How old were you in 2011?

Violence was widespread. Over 800 died as result of clashes between protesters and security forces.

You must have been in diapers back then 🤣🤣.
Waliondolewa Tahrir Square??? Watu laki 3 wali camp hapo..... Hivi hicho kitu kingeruhusiwa Tz?? Si wangemwaga jeshi zima kumimina risasi.

Kuruhusu watu Kumiminika tu hadi wafurike was something ambacho Tz hakikubaliki...... Wangemaliza wote wa day one wale!! Pia ufahamu maandamano yalikua nchi nzima figure ya watu 800 sio Tahrir square pekee so ur exaggerating the facts.

Kma mnaona CHADEMA haina following then prove them wrong mkae pembeni kma the return of Lissu ilivyokua ndio utaelewa kma tuna wafuasi in millions au ni keyboard warriors tu
 
I guess you don’t know that they’re just a bunch of tough-talking keyboard warriors![emoji3]
indeed keyboard warriors!! Natamani uwe na guts za kusimama hapo na uongee huo utumbo kma hujarudi in pieces
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?
Nakuhakikishia kuwa mna bahati kwa kuwa makamu wa mwenyekiti ametuambia chama hakijihusishi na kukamatwa kwa mbowe, la sivyo sasa hivi tungeshajaa barabara zote kuanzia mijini mpaka vijijini. Kama ni lawama zielekeze kwa makamu mwenyekiti šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Waliondolewa Tahrir Square??? Watu laki 3 wali camp hapo..... Hivi hicho kitu kingeruhusiwa Tz?? Si wangemwaga jeshi zima kumimina risasi.

Kuruhusu watu Kumiminika tu hadi wafurike was something ambacho Tz hakikubaliki...... Wangemaliza wote wa day one wale!! Pia ufahamu maandamano yalikua nchi nzima figure ya watu 800 sio Tahrir square pekee so ur exaggerating the facts.

Kma mnaona CHADEMA haina following then prove them wrong mkae pembeni kma the return of Lissu ilivyokua ndio utaelewa kma tuna wafuasi in millions au ni keyboard warriors tu
Jeshi linaweza kabisa kukataa amri haramu ya kuwaua watu linalowalinda!

Hata Egypt jeshi lilikataa kutumia nguvu dhidi ya raia wake!

Soma hapo Egypt protests: Army rules out the use of force

Hivi una umri gani wewe? 🤣🤣
 
Jukumu la kupambana na hili genge la wahuni wa maccm ili kubadili huu mwelekeo wa nchi yetu ambao umejaa udhalimu na dhuluma za kutisha si la Viongozi wa Chadema peke yao au wapenzi, wanachama na mashabiki wa Chadema tu.

Sera MUFILISI za maccm zinawaathiri Watanzania wote wasio na chama, wawe maccm, Chadema au chama chochote kile nchini.

Kuanguka kwa uchumi, ukosefu wa ajira kwa Universities/Colleges graduates, kubambikiwa kesi FEKI, kupanda kwa gharama za maisha, Wafanyabishara na Wakulima kudhulumiwa, kubambikiwa kodi kubwa, elimu yetu kuzidi kuanguka, huduma mbovu za afya, upatikanaji wa maji safi, umeme wa uhakika n.k.

Haya yote niliyoyaainisha hapo juu hayawaathiri Chadema tu bali Watanzania wote hivyo wajibu wa kupinga huu mwelekeo mbaya wa nchi yetu ni wa Watanzania wote bila kujali itikadi zetu.

brazaj Erythrocyte Frank Wanjiru Salary Slip Bujibuji Sky Eclat

Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.


Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
 
indeed keyboard warriors!! Natamani uwe na guts za kusimama hapo na uongee huo utumbo kma hujarudi in pieces


Huo ndiyo ujasiri wa mwoga. It’s another keyboard, by the name of mob psychology. In isolation, hao wote, wakiwemo Heche, Msigwa na Sugu, utadhani ni Wazaramo wa Maneromango![emoji28]
 
Kuna mambo yanakera sana mkuu. Angalia sasa hivi SSH alivyokwenda kujikuta kakwama matopeni:

1. CCM chawa wa mwendazake hawataki kusikia Corona, chanjo, tahadhari au yatokanayo. Pia hawataki katiba mpya.
2. CCM chawa wa SSH hawataki katiba mpya ila wanamwunga mkono, kwenye msimamo wa Corona na yote yatokanayo.
3. Chadema waliokereka na mwelekeo wa SSH baada ya msimamo wake kuhusiana na katiba mpya kukolezwa vilivyo na sakata la Mwanza na yatokanayo yake yote, hawana mpango naye tena.
4. Wengine waliobakia wakiwamo CUF, ACT, na wasio na vyama na ma liberali wasioeleweka wanataka nini.

#1 ni wengi kuliko #2
#3 ni wengi kuliko #4
#3 wanaweza kuwa sawa na #1 kiidadi.

Kwamba Chadema ni wanyonge? Labda kama mleta mada ana maana kuwa SSH amewavunja moyo na hawana sababu tena ya kumwunga mkono kwa lolote.

Huwafanyii watu ukiukwaji mkubwa wa haki zao, ukatumia polisi kuwakamata, ukawabambikizia kesi nk kisha ukategemea wakuunge mkono.

Katikati ya kuelekea chanjo ya Corona kutoka kwa beberu waliyeaminishwa wapumbavu kuwa ni mchawi wetu mwenye kutupiganisha vita vya kiuchumi, chanjo kwetu ni muhimu zaidi kwa sasa kuliko mengine yote:


Ifahamike kuwa jukumu la kwanza la serikali yoyote ni kuwaunganisha watu wake na kupata uhalali tokea katika walio wengi.

Serikali inayoshindwa kuwaunganisha watu wake na ikashindwa kupata uungwaji mkono wa wengi hupoteza uhalali wa kuwapo kwake.

Kumwacha SSH akale alikopeleka mboga hakuwezi kuitwa unyonge:


Kwetu chanjo inaendelea kuwa ni muhimu na umuhimu wake kwa sasa unaishia kwetu sisi wenyewe. SSH na washirika wake wakale waliko peleka mboga.

Cc: Erythrocyte Frank Wanjiru Salary Slip Bujibuji Sky Eclat
imhotep Jumbe Brown Mshana Jr


Jukumu la kupambana na hili genge la wahuni wa maccm ili kubadili huu mwelekeo wa nchi yetu ambao umejaa udhalimu na dhuluma za kutisha si la Viongozi wa Chadema peke yao au wapenzi, wanachama na mashabiki wa Chadema.

Sera MUFILISI za maccm zinawaathiri Watanzania wote wasio nĆ” chama, wawe maccm, Chadema au chama chochote kile nchini.

Kuanguka kwa uchumi, ukosefu wa ajira kwa Universities/Colleges graduates, kubambikiwa kesi FEKI, kupanda kwa gharama za maisha, Wafanyabishara na Wakulima kudhulumiwa, kubambikiwa kodi kubwa, elimu yetu kuzidi kuanguka, huduma mbovu za afya, upatikanaji wa maji safi, umeme wa uhakika.

Haya yote niliyoyaainisha hapo juu hayawaathiri Chadema tu bali Watanzania wote hivyo wa kupinga huu mwelekeo mbaya wa nchi yetu ni wa Watanzania wote bila kujali itikadi zetu.

brazaj Erythrocyte Frank Wanjiru Salary Slip Bujibuji Sky Eclat
 
Nakuhakikishia kuwa mna bahati kwa kuwa makamu wa mwenyekiti ametuambia chama hakijihusishi na kukamatwa kwa mbowe, la sivyo sasa hivi tungeshajaa barabara zote kuanzia mijini mpaka vijijini. Kama ni lawama zielekeze kwa makamu mwenyekiti [emoji23][emoji23][emoji23]

BAVICHA wanaweza kitu kimoja tu: Terrorizing any member who expresses interest to run against Chairman Mbowe during Chadema elections![emoji23]
 
Kosa walilolifanya CHADEMA mwaka 2015 litazidi kuwatafuna katika siasa zao!

CHADEMA kuwa wanyonge ni matokeo ya walichokifanya katika mchakato wa uchaguzi mkuu mwaka 2015!

Ajenda zao muhimu ambazo ziliwafanya kutokuwa wanyonge zote walizipeleka CCM na zile ambazo ziliwafanya CCM kuwa wanyonge wakazichukua!
Vilevile fukuzafukuza na hamahama ya wanachama na viongozi waandamizi na maarufu imewashusha sana. Wanamsemo wao hata akiondoka Mbowe CDM itakuwepo, wanashindwa kuelewa kuna watu huwezi kuwatenganisha na umaarufu wa taasisi flani. CCM kuwarudisha akina Lowassa, Sumaye na wengineo hawakuwa wajinga. Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu!
 
Kwa hayo.. umewa dunga šŸ’‰šŸ’‰šŸ’‰ nyingi tu.. šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…

Hayo kwa hawa ni ndotoni tu..
 
Wanajiita MAKAMANDA kumbe makunguru tu.

Yupo wapi Kibatala,Malya au Yule mkimbizi?
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
Japo unawajaza wenzio ila hawathubutu kumtetea. Pengine wanaujua ukweli.
Lakini pia,CHADEMA imebaki twita,insta na hapa jf. Wananchi wa kawaida hata hawaikumbuki.

Imebaki na jamaa mmoja sijui ndo Twaha,James Mbowe ambaye anaandaliwa kuwa mwenyekiti,Heche japo nae anabeep,Msigwa japo nae anabeep.

Mnyika,yeye ni ingia toka.
Sugu yupo busy kuwahudumia wateja wake hotelini na kunywa soda na wanawe. Prof.Jay yupo busy na Nandi festival.

Huwasikii sijui nani wa majimbo,wilaya wala kata. Kila walichoanzisha HQ kimekwama.
 
Kuna mambo yanakera sana mkuu. Angalia sasa hivi SSH alivyokwenda kujikuta kakwama matopeni:

1. CCM chawa wa mwendazake hawataki kusikia Corona, chanjo, tahadhari au yatokanayo. Pia hawataki katiba mpya.
2. CCM chawa wa SSH hawataki katiba mpya ila wanamwunga mkono, kwenye msimamo wa Corona na yote yatokanayo.
3. Chadema waliokereka na mwelekeo wa SSH baada ya msimamo wake kuhusiana na katiba mpya kukolezwa vilivyo na sakata la Mwanza na yatokanayo yake yote, hawana mpango naye tena.
4. Wengine waliobakia wakiwamo CUF, ACT, na wasio na vyama na ma liberali wasioeleweka wanataka nini.

#1 ni wengi kuliko #2
#3 ni wengi kuliko #4
#3 wanaweza kuwa sawa na #1 kiidadi.

Kwamba Chadema ni wanyonge? Labda kama mleta mada ana maana kuwa SSH amewavunja moyo na hawana sababu tena ya kumwunga mkono kwa lolote.

Huwafanyii watu ukiukwaji mkubwa wa haki zao, ukatumia polisi kuwakamata, ukawabambikizia kesi nk kisha ukategemea wakuunge mkono.

Katikati ya kuelekea chanjo ya Corona kutoka kwa beberu waliyeaminishwa wapumbavu kuwa ni mchawi wetu mwenye kutupiganisha vita vya kiuchumi, chanjo kwetu ni muhimu zaidi kwa sasa kuliko mengine yote:


Ifahamike kuwa jukumu la kwanza la serikali yoyote ni kuwaunganisha watu wake na kupata uhalali tokea katika walio wengi.

Serikali inayoshindwa kuwaunganisha watu wake na ikashindwa kupata uungwaji mkono wa wengi hupoteza uhalali wa kuwapo kwake.

Kumwacha SSH akale alikopeleka mboga hakuwezi kuitwa unyonge:


Kwetu chanjo inaendelea kuwa ni muhimu na umuhimu wake kwa sasa unaishia kwetu sisi wenyewe. SSH na washirika wake wakale waliko peleka mboga.

Cc: Erythrocyte Frank Wanjiru Salary Slip Bujibuji Sky Eclat
imhotep Jumbe Brown Mshana Jr
Chanjo ni muhimu....

#ChanjoNiBoraKulikoTiba
 
Sijaribu kufanya mzaha na hili suala, ila watu wa CHADEMA ukiwasikia mitandaoni unaweza sema ni wanamgambo wa Taliban. Branding yao wameiweka kikamanda, ila matendo ni kama kikundi cha kusutana. [emoji3]
 
Nyani Ngabu huwa anapenda kuanziasha mada za kuwabughudhi na kuwachokonoa Chadema kwa sababu anaongeza umaarufu wake hapa na kupata wachangiaji wengi. Hapa ukitaka kila member akujue uwe unatetea kila jambo linalofanywa na serikali hata liwe na uozo namna gani. Na wapinzani hasa Chadema wabughudhi kwa vijembe na kebehi. Trust me, jina lako litakuwa maarufu sana hapa. This is a funny side of many Tanzanians, i.e. hawajui kum-ignore mtu au kitu wasichotaka au kinachowa-irritate mioyo yao.

Mkuu Nyani Ngambu atafute ā€œumaarufuā€ hapa JF kweli? Huyu huyu Ngambu wa tangu enzi za Jambo Forum? Natumaini wewe pia ni mkongwe hapa,kwa tuliokuwepo tangu enzi hizo za 2006 mtu kama Nyani Ngambu,Mwanakijiji,Kichuguu,Mwafrika wa Kike,Sikonge na wengine wengi mbona ni maarufu sana tangu enzi hizo.

Ngabu huwa anapenda kuchokonoa mijadara na si kutafuta umaarufu.Mpe heshima yake huyu Legendary wa Jambo Forum na sasa Jamii Forum.Rudi kwa hoja yake ya msingi aliyouliza hapa.
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
Tatizo chadema kiliwasaliti wananchi kwa kupinga maendeleo ,kifupi viongozi wa chadema walikataa kwenda na nyoyo za watz wazarendo
 
Jeshi linaweza kabisa kukataa amri haramu ya kuwaua watu linalowalinda!

Hata Egypt jeshi lilikataa kutumia nguvu dhidi ya raia wake!

Soma hapo Egypt protests: Army rules out the use of force

Hivi una umri gani wewe? 🤣🤣
Jeshi la bongo likatae amri??? Uliona kilichotokeaga zenji 1999 mpka january 2000 kwenye zile twin elections?

We subiri maandamano ya amani yakitangazwa utasikia vitisho vya kila aina. But hoja nashikilia ni kwamba kma yakiachwa tu turnout itakua kubwa sana same to ile siku Lissu amerudi
 
Huo ndiyo ujasiri wa mwoga. It’s another keyboard, by the name of mob psychology. In isolation, hao wote, wakiwemo Heche, Msigwa na Sugu, utadhani ni Wazaramo wa Maneromango![emoji28]
Kwani hiyo video walikua kwenye keyboard hao?? Polisi msipo interfere you know CHADEMA has numbers. Mlitukana sana kuwa chama kimekufa but nadhani wote tuliona mass following kuelekea kampeni kila tulipopita ikabidi hadi mvuruge uchaguzi maana hamkuamini kabisa.

Siku Lissu amerudi polisi hawakuingilia je hukuona hilo nyomi??
 
Sawa.

Lakini hiyo bado haiondoi ukweli kwamba CHADEMA ni waoga.

Sehemu nyingi tu duniani watu huandamana kupinga uonevu.

Hosni Mubarak maandamano ndo yaliyomwondoa madarakani.

CHADEMA wanadai wana wanachama takriban milioni 5-7.

Wako wapi kupinga mwenyekiti wao kuonewa?
Nyani swala la maandamano TZ mara nyingi huishiaga pabaya mnooo kwani polisi wanaweza kufanya chochote kwa yoyote.sio Chadema tuu, ni watanzania wote. Swala la tozo ambalo hata CCM LILIWAGUSA kelele zimekuwa za mtandaoni tu, hakuna aliyeandamana.
 
Back
Top Bottom