Hivi kwanini chumvi huwa haipandi bei

Hivi kwanini chumvi huwa haipandi bei

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Miaka nenda miaka Rudi nikienda Dukani nakuta bei ya Chumvi iko pale pale,
Bidhaa zingine muhimu kama vile Sukari, mafuta, Unga kila siku naona zinabadirika bei,
Leo unaweza kuta imepanda, kesho imeshuka,

Sasa kwa nini Chumvi huwa haipandi bei licha ya umuhimu wake?

CC Zero IQ
 
Bei ya chumvi iko pale pale...

Haya nionyesheni duka linalouza chumvi ndogo shilingi 50 na chumvi kubwa shilingi 100
Aya niambie siku gani bei ya chumvi ilikuwa inayumba kama zinavyoyumba bei za bidhaa tajwa hapo juu kama vile Sukari, Sembe, ngano mafuta na Nk

CC Zero IQ
 
Bei ya chumvi iko pale pale...

Haya nionyesheni duka linalouza chumvi ndogo shilingi 50 na chumvi kubwa shilingi 100
Bei ya chumvi inapanda kwa sababu ya thamani ya pesa kushuka na gharama za maisha kupanda.

Sukari, mchele, unga havipandi kwa sababu ya thamani ya pesa kushuka bali sababu nyingine. Na chumvi inarespond soko linalazimisha nini hivyo haibaki nyuma.

Sukari inalazimisha kwenda kinyume na soko kabisa, inayumba haiko stable.
 
Bei ya chumvi iko pale pale...

Haya nionyesheni duka linalouza chumvi ndogo shilingi 50 na chumvi kubwa shilingi 100
Muelewe mtoa mada.. yaani ana maanisha rate ya upandaji bei ya chumvi ni ndogo sana kulinganisha bidhaa nyingine.

Na hii ni kweli kabisa. Bei ya chumvi kwa miaka mingi imekuwa ipo stable sana.
 
Chumvi haiwezi panda labda uipandishe kwenye koromeo uimeze....kwani nyie mkienda uvinza mnataka chumvi ipande?

Sent using Jamii Forums mobile app
Safari hii lazima ipande bei ni swala la Muda mabwawa yote Yamahas maji hakuna uvunaji Sio Rukwa sio Uvinza sio Gendabi Eyasi na Haya hapa Dar uvunaji umesimama kwa zaidi ya miezi 6
 
Back
Top Bottom