Ducinaltum
Senior Member
- Oct 9, 2022
- 175
- 137
Hahahaha DaahHivi kwanini hapa Tanzania matajiri au watu waliofanikiwa kimaisha hupenda kutuongopea kuwa wao wanafanya kazi kwa bidii?
Kuna mmoja nlimskia anasema yeye hulala masaa matatu tu, hivi huo ni utajiri au mateso?
Elon Musk tajiri namba moja duniani yupo mtandaoni muda wote, na ana hat na watu, ila hizi tajiri za matunguli zinadai zinafanya kazi kwa bidii
Mkuu, mim huwa sipendi kabisa motivation za watu maarufu. Hawatuambii ukweli, wengi ni wachawi au wauza ngada.Hahahaha Daah
Aiseee wanachoma!! Akina chifu godlveMkuu, mim huwa sipendi kabisa motivation za watu maarufu. Hawatuambii ukweli, wengi ni wachawi au wauza ngada.
Wanachosha sana. Yaani sisi wengine tunaonekana ni wavivu wa kufikiriAiseee wanachoma!! Akina chifu godlve
AiseeHuwa huwaelewi vizuri. Wanaposema wanafanya kazi kwa bidii, wanamaanisha kazi halali au haramu.
Hahah, bas kuna utofauti wa matajiri wa kwetu na wengine. Kiukweli mtu hawezi kutoa siri zake za ndani za mafanikio yake, instead atasema vitu cheap cheap tu.Kwasababu ni kweli, kwa mtazamo wao.
Hata mtu mwenye bahati anajiona ana bidii, kuna vingi amefanya kabla ya hiyo bahati.
Anayepita njia za panya pia hutumia bidii.
Mambo ya uchawi ni ujinga tu mnaopenda kuamini, hamtaki kuona mbali.
Hawawezi kutuambia siri halisi za mafanikio.Kwasababu ni kweli, kwa mtazamo wao.
Hata mtu mwenye bahati anajiona ana bidii, kuna vingi amefanya kabla ya hiyo bahati.
Anayepita njia za panya pia hutumia bidii.
Mambo ya uchawi ni ujinga tu mnaopenda kuamini, hamtaki kuona mbali.
Kwa uzoefu wa miaka yangu hapa duniani. Ni kazi ngumu sana kuwa bilionea bila magumashi hapa TanzaniaAisee
kama kweli unataka kufika kule, utajua tu.Hahah, bas kuna utofauti wa matajiri wa kwetu na wengine. Kiukweli mtu hawezi kutoa siri zake za ndani za mafanikio yake, instead atasema vitu cheap cheap tu.
Hawawezi kutuambia siri halisi za mafanikio.
Juz kuna motivation speaker mmoja huwa anajinasibu anauza mchicha Ulaya, lakin amekamatwa na drugs. Ko hivo vitu wanavyotueleza ni urongo tukama kweli unataka kufika kule, utajua tu.
ukishakanyaga ngazi moja, utaiona nyingine iliyoko mbele.
Umeeleweka vema sana.Kwa uzoefu wa miaka yangu hapa duniani. Ni kazi ngumu sana kuwa bilionea bila magumashi hapa Tanzania
Unafikiri hata kufoji nyaraka ili mtu apige dili ni kazi rahisi? Ukienda kichwa kichwa unafungwa.
Mtu anaweza kutumia siku kadhaa anakesha ili kufoji nyaraka mana anakuwa anajiuliza maswali kadhaa ili kufuta ushahidi mara pamekucha, kesho yake tena anaendelea kujiuliza, mwisho wa siku ndio anakuwa analala masaa 3 mpaka mchongo ukamilike.
Au mtu halali anafuata au anasubiri magendo usiku wa maneno.
Pesa nyingi inapatikana mazingira tatanishi. Ndio maana askari wa patrol wa usiku wa manane anaweza kukamata magendo ya gharama tofauti na wa mchana, ndio maana wanasema watu hawalali
Mim nafanya kaz kwa bidii sana tu, ila ndo naishia maisha ya kawaida tu.Ili ujue jambo fulani ni la uongo lazima kuwe na ukweli.
Haya mkuu, tuambie ukweli wa kuwa tajiri ili tuache uongo wa kufanya kazi kwa bidii
Bidii yako haina macho.Mim nafanya kaz kwa bidii sana tu, ila ndo naishia maisha ya kawaida tu.