Ducinaltum
Senior Member
- Oct 9, 2022
- 175
- 137
Hivi kwanini hapa Tanzania matajiri au watu waliofanikiwa kimaisha hupenda kutuongopea kuwa wao wanafanya kazi kwa bidii?
Kuna mmoja nlimskia anasema yeye hulala masaa matatu tu, hivi huo ni utajiri au mateso?
Elon Musk tajiri namba moja duniani yupo mtandaoni muda wote, na ana hat na watu, ila hizi tajiri za matunguli zinadai zinafanya kazi kwa bidii
Kuna mmoja nlimskia anasema yeye hulala masaa matatu tu, hivi huo ni utajiri au mateso?
Elon Musk tajiri namba moja duniani yupo mtandaoni muda wote, na ana hat na watu, ila hizi tajiri za matunguli zinadai zinafanya kazi kwa bidii