May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
- Thread starter
- #21
Hoja hapa kwa nini tunashindwa kuwafunga...hivi kwa mawazo yako sasa hivi Uganda wakisikia wanacheza na Tanzania wanashtuka ukilinganisha na sisi kusikia tunacheza na Uganda?Lakini si tumefuzu
Mimi muda wote nilishajenga hofu kuwa tutafungwa tu.
Hata nikawa kama nalalamika kuwa kwa nini kila fainali tunakutana na hawa jamaa?.