residentura JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 8,146 Reaction score 11,434 Jan 17, 2023 #301 Allency said: Hivi kweli Sukuma gang wote hamna hoja ila ni matusi tu [emoji848][emoji848] Click to expand... Sasa "mungu" wao wa sukuma gang hakuwa na hoja na hakupenda kabisa watu wenye hoja,unategemea wafuasi wake ndio wawe na hoja!!??? "Baki na mavi yako nyumbani". Hii kauli ni ya mtu mwenye hoja kweli!!!??
Allency said: Hivi kweli Sukuma gang wote hamna hoja ila ni matusi tu [emoji848][emoji848] Click to expand... Sasa "mungu" wao wa sukuma gang hakuwa na hoja na hakupenda kabisa watu wenye hoja,unategemea wafuasi wake ndio wawe na hoja!!??? "Baki na mavi yako nyumbani". Hii kauli ni ya mtu mwenye hoja kweli!!!??
R Ravez Chris New Member Joined Mar 17, 2023 Posts 3 Reaction score 2 Mar 19, 2023 #302 OKW BOBAN SUNZU said: Ukiacha ukatili pia ni akili hazikuwa sawa Click to expand... Yule jamaa alipaswa kupimwa akili kwanza kabla ya kupewa kile cheo
OKW BOBAN SUNZU said: Ukiacha ukatili pia ni akili hazikuwa sawa Click to expand... Yule jamaa alipaswa kupimwa akili kwanza kabla ya kupewa kile cheo