Wanatoa ndugu yangu na kama ulikatia kwa agent inabidi akupe kwanza risiti yake kisha akiyafikisha malipo bima ndio anapewa risiti ya efd anakuleteaHapa ninamaanisha makampuni yanayotoa bima za magari, nyumba, na vitu vingine.
Unapokwenda hitaji huduma zao wanafanya mahesabu na unalipa jumla yote including percent ya kodi (TRA) lakini hupewi ile risiti ya EFD!
Sasa tunajuaje kuwa TRA wanapata kodi yao stahiki?
Nimeshatembelea ofisi za bima zaidi ya mbili na wote wanatoa risiti za kwenye vitabu vyao.
Tunahitaji kila mmoja wetu alipe kodi stahiki kwa maendeleo ya Taifa letu.
Tunaomba TRA mfuatilie hili na kila kampuni la bima liwe na EFD.
Ni hayo tu kwa leo.
Asubuhi njema.
Haizalimishi bali ni kujali wale watakaopata madhara ajali ikitokea ili waweze kupata haki yao... Kiuhalisia hata majengo yanapaswa kuwa na bimaSerikali inalazimisha kila mmiliki wa gali alikatie bima nilidhani na yenyewe inafaidika kumbe hawana wanachopata
Hapo sijaelewa bro unaweza kutembea na gali ambalo halina bima na polisi wasikukamate?Haizalimishi bali ni kujali wale watakaopata madhara ajali ikitokea ili waweze kupata haki yao... Kiuhalisia hata majengo yanapaswa kuwa na bima
Sijui kama hili linafanyika....Wanatoa ndugu yangu na kama ulikatia kwa agent inabidi akupe kwanza risiti yake kisha akiyafikisha malipo bima ndio anapewa risiti ya efd anakuletea
Ni ngumu na tayari hiyo imeshakuwa sheria kwenye kanuni za usalama barabaraniHapo sijaelewa bro unaweza kutembea na gali ambalo halina bima na polisi wasikukamate?
Angalia ulikatia kwa agent au kwa bima wenyewe?Sijui kama hili linafanyika....
Na ni wangapi hapa MMU mfano wameshawahi kupewa risiti ya EFD!
Ngoja nifuatilie risiti yangu nione ntapewa jibu gani kwa sababu miezi 3 imeshapita sijaitiwa risiti yangu