Kudasai
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 214
- 254
Hapa ninamaanisha makampuni yanayotoa bima za magari, nyumba, na vitu vingine.
Unapokwenda hitaji huduma zao wanafanya mahesabu na unalipa jumla yote including percent ya kodi (TRA) lakini hupewi ile risiti ya EFD!
Sasa tunajuaje kuwa TRA wanapata kodi yao stahiki?
Nimeshatembelea ofisi za bima zaidi ya mbili na wote wanatoa risiti za kwenye vitabu vyao.
Tunahitaji kila mmoja wetu alipe kodi stahiki kwa maendeleo ya Taifa letu.
Tunaomba TRA mfuatilie hili na kila kampuni la bima liwe na EFD.
Ni hayo tu kwa leo.
Asubuhi njema.
Unapokwenda hitaji huduma zao wanafanya mahesabu na unalipa jumla yote including percent ya kodi (TRA) lakini hupewi ile risiti ya EFD!
Sasa tunajuaje kuwa TRA wanapata kodi yao stahiki?
Nimeshatembelea ofisi za bima zaidi ya mbili na wote wanatoa risiti za kwenye vitabu vyao.
Tunahitaji kila mmoja wetu alipe kodi stahiki kwa maendeleo ya Taifa letu.
Tunaomba TRA mfuatilie hili na kila kampuni la bima liwe na EFD.
Ni hayo tu kwa leo.
Asubuhi njema.