OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
View attachment 1537112
unaumwa we jamaa unaumwa Utopolo
HahahahaKuna watu wanachaneli za kupiga hela hapa mjini.
Halafu si ajabu hata hizo feki nazo ni za KD
kichekeshoView attachment 1537198
aliyewaita Utopolo hakukosea. chek hii logo
Ukiwa shabiki wa mpira na unaona fahari kuandika ujumbe huu, huna faida kwa timu.Simba huwa hatutegemei mapato kutoka kwenye jezi, ndio maana anapewa hiyo tenda mtu tu, wala sio lazima mwekezaji au mfadhili
Hahahaha, timu ya familia ileNilishangaa sana eti UMBRO alipigwa chinu kwenye tenda ya kutengeneza jezi za Simba, kumbe UHL ni ya hao hao kina MO.
Wadhani Mo atarudishaje hela zake? No free lunch! Nunua tu!Timu yenye yenye hadhi na heshima kama Simba inatumia jezi feki, jezi za ovyo kabisa.
Simba wanatakiwa wafanye kazi na kampuni kama Adidas, Nike, umbro nk.
Uhlusport tuwaachie utopolo & co
Wakiingia makubaliano na kampuni kama umbro au Adidas walete bidhaa og lazima warudishe hela zao.Wadhani Mo atarudishaje hela zake? No free lunch! Nunua tu!
Daaaaaa!!! Huyo ndio shabiki wa simbaSimba huwa hatutegemei mapato kutoka kwenye jezi, ndio maana anapewa hiyo tenda mtu tu, wala sio lazima mwekezaji au mfadhili
Simba shabki zaid ya 6mSimba huwa hatutegemei mapato kutoka kwenye jezi, ndio maana anapewa hiyo tenda mtu tu, wala sio lazima mwekezaji au mfadhili
Kwa hiyo unataka Mo atoe hela zake bila yeye kunufaika?Nilishangaa sana eti UMBRO alipigwa chinu kwenye tenda ya kutengeneza jezi za Simba, kumbe UHL ni ya hao hao kina MO.