Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Maneno mengi Sana halafu huna uwezo hata wa kununua jezi hizo, utaanza kusema bei ghali!Timu yenye yenye hadhi na heshima kama Simba inatumia jezi feki, jezi za ovyo kabisa.
Simba wanatakiwa wafanye kazi na kampuni kama Adidas, Nike, umbro nk.
Uhlusport tuwaachie utopolo & co