Hivi kwanini Kenya ipo hivi?

52% ya revenue yao inatumika kwa kulipatana mishahara pekee, wafanyakazi wa serikali ni 2% ya population, yaani 52% ya mapato ya nchi nzima yanafaidisha only 2% ya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁 Na hichi ndio nilikua nimelenga haswa, alafu check hayo maeneo yanayovuna 52% ya pesa yote yamekaliwa na makabila gani ndio utajua Kenya ukabila una strings ambazo hakuna anaeweza kuzifumua.
 
Upumbavu wako wa Kikuyu na Kalenjin mwisho Namanga, huku sisi ni watu tinaojitambua na kujitawala, umeshindwa kujenga hoja unaanza kuangalia vitu kidogo, stupid kabisa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu bado hawajashtuka kuna strategic missions zilifanywa na baadhi ya makabila kutengeneza vijicounties vingi vinavyotokana na Jamii zao ili kupeleka representatives wengi bungeni na hatimae serikalini na kushika mamlaka na ushawishi kisiasa na kiuchumi from the grassroots, hii haijatokea by coincidence lazima zipo secrets reasons behind.
 
A bongolala baboon don't know the cause of Cholera. Let me teach you kidogo. Cholera is an hygienic disease spread by either dirty water or improperly cooked food. It's caused by virus known as Vibrio cholerae. For your information, there is no such virus in stool, what are found in stool are enteric bacteria like pathogenic Escherichia coli(E.coli K12 and E.coli 051.H7), Salmonella serovar among others.
Usije ukala kinyesi na ww

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Colonial boundaries extend to countries ,Tanganyika unayoijia creation ya mkoloni. Shame kuheshimu mipaka ya mkoloni.
Sina uhakika sana na hizi tiny counties kama ni colonial legacy
 
Ndy mshakula knysi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes when you don't understand things, it's better to keep quiet about them.
 
Kipindupindu kinatokana zaidi na unsafe water, au upungufu wa MAJI kwa ajili ya kunawa mikono mara baada ya kujisaidi. Kipindupindi ni ugonjwa unaopatikana katika nchi masikini.

Kuwepo kwa cholera ni dalili za umasikini, huwezi kusikia nchi tajiri kuna cholera, na hata katika nchi masikini, huwezi kusikia maeneo ya matajiri yanakumbwa na cholera. Elimu yenu ya Kenya zaidi ya Ukabila na rushwa, hamna mnachofundishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…