adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,638
wanabodi
nimekuwa nashangazwa sn km sio kustaajabu!au inaonyesha humu wengi wetu ni betri low
mtu anaweka thread yake nzuri lakini mwisho anasema sitaki matusi!
Au kama ukiona limekukera mezea na maji!
yaani mtu hata akiweka bandiko la maana litalogusa kila upande katika jamii inayotunguzuka mwisho lazma aweke maneno ya taarabu!ooohh wale watoa povu wanakuja sasahivi.....
Kunani humu jamani Jf
ni kina nani haswaa huwa wanapewa tahadhari wasianze kutoa mapovu au kejeli..leo tuwajue
Sent using Jamii Forums mobile app
nimekuwa nashangazwa sn km sio kustaajabu!au inaonyesha humu wengi wetu ni betri low
mtu anaweka thread yake nzuri lakini mwisho anasema sitaki matusi!
Au kama ukiona limekukera mezea na maji!
yaani mtu hata akiweka bandiko la maana litalogusa kila upande katika jamii inayotunguzuka mwisho lazma aweke maneno ya taarabu!ooohh wale watoa povu wanakuja sasahivi.....
Kunani humu jamani Jf
ni kina nani haswaa huwa wanapewa tahadhari wasianze kutoa mapovu au kejeli..leo tuwajue
Sent using Jamii Forums mobile app