Hivi kwanini kila mtu anamchukia huyu mdada!?

Daah kumbi movie?

Eee Baba muumba mbingu na Nchi na vyote vilivyo nimekuja kwako muda huu kukuomba msamaha kwani nimepoteza muda kusoma huu Uzi usio na faida Wala hasara kwenye maisha yangu.

Nisamehe kwani nimekosa nimekosa Nimekosa Mimi NimekosanaπŸ™
 
Kama kweli bianca ndio amekufa!!!bas ameuliwa kizembe sana πŸ˜€πŸ˜€
 
Mkuu me ndio naipakuwa hapa muda huu.
Unapakua movie MBs kadhaa. Hapo utaona picha ya maana kweli mkuu. Binafsi movie iwe 2160p(4K) ndio naona mzuka. Hadi drop ya mvua naiona kwenye screen kuanzia 65". Nikikosa kabisa nachukua 1080p ndio mwisho. Movie ni kuanzia GB 2 kwenda mbele.

Nina collection ya 4K ya zile movies zangu pendwa za wakati wote. Karibu nikupe mkuu. Achana na hizo ya MBs kadhaa hata picha haionekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…