Hivi kwanini klabu ya Yanga inashindwa kuheshimu logo za klabu nyingine?

Yanga wana mambo ya kizamani sana simba kusema kweli tunajitahidi hata kuna baadhi ya jezi ya kipa wetu ilikuwa ina unjano lakini ikawa kawaida
Itachukua muda kwa yanga kubadilika kuwa na akili maana hata rangi tu
Babu kwani hayo marangi ndo yanacheza na kuleta maendeleo ya soka nchini? Chezeni mpira,wekezeni kwelikweli hizi nyingine ni porojo tu
 
Sisi wenye Yanga yetu hatuwezi kuweka doa jekundu kwenye jezi yetu, ni bora tubaki bila wazamini Full stop!
Tumia akili kufikiri, kisha jenga hoja zenye mantiki, hapajasemwa jezi za Yanga zikae doa jekundu, suala ni logo za timu pinzani zinavyoboreshwa na picha tumeweka hapo

Mnakwama wapi mbona mada ipo wazi?
 
unaonekana umejiunga jf mda mrefu ila akili zako hazina akili
 
Babu kwani hayo marangi ndo yanacheza na kuleta maendeleo ya soka nchini? Chezeni mpira,wekezeni kwelikweli hizi nyingine ni porojo tu
Vile hauelewi mambo ya logo anayosemea mleta mada, hivi ulishawahi kuona chelsea amecheza na Man u😢😢 halafu logo ya man u , ikachalazwa blue tuu
 
Naungana na ww , uungwana kukubali changamoto chanja kama hizi.
 
Kuna Yanga wenye kufikiri na kuchanganua mambo wenye kujua nini maana ya brand, wameeleza wazi kuwa jambo hili si sahihi

Lakini shida ipo kwa hawa bora liende
Vile hauelewi mambo ya logo anayosemea mleta mada, hivi ulishawahi kuona chelsea amecheza na Man u[emoji22][emoji22] halafu logo ya man u , ikachalazwa blue tuu
 
Kuna Yanga wenye kufikiri na kuchanganua mambo wenye kujua nini maana ya brand, wameeleza wazi kuwa jambo hili si sahihi

Lakini shida ipo kwa hawa bora liende
Elimu, Elimu, Elimu
Ndio kila kitu ,
 

Unataka kuniambia bado tupo kwenye ukoloni usitetee ujinga ndugu hii club ina uswahili mwingi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yaani mbumbumbu mnakuwa na uchungu na logo kuliko GSM au Vodacom ambao wamekubaliaana na timu ya wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi ni shabiki wa MBEYA City (timu ya nyumbani) na ndio maana nikaweka kiambatanisho hapo juu. Nembo ya timu yetu ninayoijua haina rangi hiyo pichani. Na Nadhani huu ndio msingi wa hoja iliyopo mezani. Je, hili (kuweka nembo timu katika rangi isiyostahiki) lina uhusiano gani na GSM au Vodacom mkuu kama ulivyotuhumu hapo juu ?
 
Kama umeumia sana Basi nenda mahakamani kaishtaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiko wapi? Naona umegonga ukuta kwa hoja yako dhaifu kupita maelezo[emoji23][emoji23]

Kuna mwenzako naye alikuja kutetea huu ujima, alivyopewa dawa ya kutuliza hayupo tena, nadhani aliamka usingizini na kuanza kuropoka.

We ni wale wale kinachosema tofauti na unachokijibu, matokeo yake umeishia nenda mahakamani[emoji23]
Kama umeumia sana Basi nenda mahakamani kaishtaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umeumia sana Basi nenda mahakamani kaishtaki

Sent using Jamii Forums mobile app

Haijaniuma sana, ila nimeshangaa. Sitokwenda mahakamani. Moja kati ya kazi za majukwaa Kama haya ni kujadili mambo mbali mbali ili angalau kuufikisha mpira wetu kwenye kiwango bora zaidi. Huenda unaipenda mno Yanga na hata usilione hilo kama ni tatizo. Au pengine hii ni Yanga mpya isiyokubaliana na logo za timu nyingine zisizokua na rangi ya manjano na kijani maana hapo kabla sijawahi kuona logo za namna hiyo.

Ninakubali kutofautiana nanyi (wenye msimamo kama wako) katika hili.
 
Acha ujinga wa kuharibu uzi kwa kujaza usichokijua, timu kama timu ina uwezo wa kubadili logo wanavyotaka.

Narudia tena Man Utd hawawezi kuiboresha Logo ya Man City, kama ipo Official lete hapo.View attachment 1357636
Unaishi kwa kukariri.Yanga hakuna mahali wamebadili logo ya timu ya watu.Jielishe kwanza usitie uzoefu kwenye mambo ya weledi.Upo hapo wewe huna akili kuzidi wenye timu ngoja tarehe 8/3 /tuweke logobya simba ya njano ndo ufe uzimie kabisa.rangi haina effect yoyote kwa logo wala kmpuni ndio maana Vodacom logo yao ni nyekundu lakin kwa Yanga wanatumia nyeusi.Sasa wewe endelea kushikia bango jambo ambalo liko juu ya akili yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…