Hivi kwanini kwa sisi wanaume wengi, ni rahisi kumpata mdada usiemtaka, ila kumpata mdada unaemtaka inakuwa ni ngumu?

Mi sijawahi kuwa na tatizo na mademu wa aina yoyote sababu ukivibe na mimi hata kama muonekano hauna au shape sio kivile huwa sijali mimi personality kwanza, japo nikigundua pia unajua malovee utajiongezea credit ishu inayonifanya niwakache wengi wanaonipenda ni kugandana sana,

Hamna kinachofanya niepuke kuwatokea mademu ni pale napojua ataniganda, mimi masuala ya kugandana sitaki kabisa nikikupenda nipende afu kausha ukianza kunisumbua kila mara, au kunipost post bila sababu ya msingi ntakukacha fasta yaani.
 
Sio kweli,inawezekana imukutokea wewe mara nyingi unafikiri ndivyo ilivyo kwa wanaume wengine pia.
 
Aaah wapi kwa nyie wanaume ndo rahisi zaidi kumpata humpendae, kuliko sisi wanawake, manake sisi tunachaguliwa na nyie mnachagua....ukipojihamini ni uzembe wako tuu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. So funny aiseeeeh. Dunia saiv in love situation hata ww unauwezo wa kumchagua unaempenda bwana. In fact mwanamke akipenda huwa anapenda kweli sometimes we men tunapitia wakati mgumu qa kumpata a real woman that knows real definition of love! Mwenye ataeza vumilia pale wakati huna na wakati umepata hat kidog bac anaridhika couz tyr upo moyon mwake. We men but my side namwamini saan a girl akinipenda mwenyewe couz am sure atakua amenikubali the way nilivyo and i will real never give up to show her how special she is. Wengine they know how to love but they cant exoress their feelings couz wanaogopa pain
 
Wasipokuelewa basi tena.,
 
Pepo lako la ngono halitaki uwe na mahusiano na wanawake....ebu jaribu kudate wanaume (makaka poa) uone kwanza.
 
Mahusiano ya kishenzi sana. Tena ukienda sehemu ambayo huna mpango nayo dakika zero hadi mzigo unakula kirahisi sana.

Sasa pale unaposema kwa njia yeyote nitampata hapo kazi ipo!
 
Hiyo ni kwako tu ase
 
Like attracts like, mwanamke unayempata ndio level yako.

Kama unataka kucheza champion's league sharti uji upgrade, kwanzia kinga ya mwili, muonekano wa ujumla yaani mavazi na body physiques.
 

Duh!na mimi pia huwa napitia changamoto hii unakuta mwanamke anakuganda kama vile ccm ilivyoiganda Tanzania,hapo huwa natafuta kila namna tuachane
 
Amini nakwambia watu mko tofauti sana. Wenzako pale anapotemwa mate na kupelekwa polisi ndo anakazana hapohapo hakomi anakuwa km jitumwa senge yuko tayari akuhonge gari yake akujengee nyumba. Wewe unakimbia kabisaa?

Analewa matusi. Tena ananunua bastola kabisaaa anakupa umuue ajue moja. Ili yaishe

Kifupi huna kipaji cha mitongozo nenda tu kaishi na bibi
 
Akili kubwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1784]
 
Aaah wapi kwa nyie wanaume ndo rahisi zaidi kumpata humpendae, kuliko sisi wanawake, manake sisi tunachaguliwa na nyie mnachagua....ukipojihamini ni uzembe wako tuu

Kujiamini hadi tuende Na panga? Yaan unakuta umemuelewa Mdada kiukweli ukweli lakini hakupi ushirikiano hata wa namba, lakin MTU ambae huna shida nae ndo ukiingizia, tu kamada ka mapenzi, anaanza kujaa mwenyew, kwenye mfumo wa magori mengi,
 

Me nahisi labda kuna code tunazikosea, wanawake wanadai, kupata Mdada so kazi sasa ukicheki ukianza kumfata hata yeye, inakua kazi tena
 
Me nahisi labda kuna code tunazikosea, wanawake wanadai, kupata Mdada so kazi sasa ukicheki ukianza kumfata hata yeye, inakua kazi tena

Utasikia mbona wanawake wengi, hujaamua tu [emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…