EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Ni kitambo mkuu kabla hata jiwe hajashushwa kuzimu ila ni wakati wake wa kipindi cha piliYamefutwa lini tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Mleta mada hana taarifa sahihi Nane Nane haijawahi kufutwa.Zamani tulikuwa na sabasaba
Then nanenane
Leo kupitia hii hoja yako
Kwamba nanenane imefutwa
Imefutwa lini? Na ilikuwaje?
Zamani tulikuwa na sabasaba
Then nanenane
Leo kupitia hii hoja yako ....
Kwamba nanenane imefutwa
Imefutwa lini? Na ilikuwaje?
Mbona mwaka Jana yalikuwepo Arusha?Ni kitambo mkuu kabla hata jiwe hajashushwa kuzimu ila ni wakati wake wa kipindi cha pili
Yamefutwa kuanzia 2021Mbona mwaka Jana yalikuwepo Arusha?
Duh hayaYamefutwa kuanzia 2021
Maamuzi mengine ya ajabu sana,ni Huyu waziri wa sasa ndio amefanya hayaKatika maswala ambayo sikuyaelewa ni hili la kufutwa kwa sherehe za Nanenane. Asante muanzisha uzi kwa kuuliza hili.
Mbona wameeleza hapo kuwa ni kubana matumiziKama kuna ambaye anajua sababu ya kufutwa kwa maonyesho ya nane nae tujuze.Maonyesho haya yalikuwa ni fursa za kibiashara na sio fursa tu bali hata kuwa sehemu ya burudani kwa siku zile za maonyesho watu wakitoka na familia zao kubadilisha mazingira.Ninatamani sana yangerudishwa.
Wameeleza wapiMbona wameeleza hapo kuwa ni kubana matumizi
Fedha zilizopaswa.Wameeleza wapi