Hivi kwanini maonesho ya Nanenane yamefutwa?

Hivi kwanini maonesho ya Nanenane yamefutwa?

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Kama kuna ambaye anajua sababu ya kufutwa kwa maonyesho ya nane nae tujuze. Maonesho haya yalikuwa ni fursa za kibiashara na sio fursa tu bali hata kuwa sehemu ya burudani kwa siku zile za maonyesho watu wakitoka na familia zao kubadilisha mazingira.

Ninatamani sana yangerudishwa.
 
Yamefutwa lini tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Pengine ubunifu wa waziri husika uliishia hapo
 
Yamefutwa lini tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ni kitambo mkuu kabla hata jiwe hajashushwa kuzimu ila ni wakati wake wa kipindi cha pili
 
Zamani tulikuwa na sabasaba

Then nanenane

Leo kupitia hii hoja yako

Kwamba nanenane imefutwa

Imefutwa lini? Na ilikuwaje?
 
Tumeamua kufufua kumbi za cinema zote nchini
Mpaka sasa hakuna faida yeyote ya ile kitu
 
Mleta mada hana taarifa sahihi Nane Nane haijawahi kufutwa.

20210530_092804.jpg
 
Katika maswala ambayo sikuyaelewa ni hili la kufutwa kwa sherehe za Nanenane. Asante muanzisha uzi kwa kuuliza hili.
 
Kama kuna ambaye anajua sababu ya kufutwa kwa maonyesho ya nane nae tujuze.Maonyesho haya yalikuwa ni fursa za kibiashara na sio fursa tu bali hata kuwa sehemu ya burudani kwa siku zile za maonyesho watu wakitoka na familia zao kubadilisha mazingira.Ninatamani sana yangerudishwa.
Mbona wameeleza hapo kuwa ni kubana matumizi
 
Back
Top Bottom