Biashara za waafrika walio wengi hazisomeki. Pesa wanazungusha kwenye biashara in cash zikizidi wanachimbia chini, records hawaweki, biashara hawaweki kwenye mitandao, wapo simple hawataki kujionyesha, wanaishi kama middle class lakini wako worth billions. Akishtukizia anaenda dukani ananunua VX ya 300m cash. Wapo wengi sana Tanzania. Forbes hawawezi kuwafaamu. Subiria watoto wao wakiridhi hizo Mali uone mlipuko wa mabilionea waafrika kwenye Forbes sababu hawa wengi watatamba sana nakujionyesha alafu watafilisika