Hivi kwanini matajiri wanaendelea kuwa matajiri na masikini wanaendelea kuwa masikini?

Hivi kwanini matajiri wanaendelea kuwa matajiri na masikini wanaendelea kuwa masikini?

Watu matajiri "wanarithishana" utajiri,hapa ni pamoja na kuonyeshwa njia za biashara,elimu na mtaji,Masikini hana cha ku offer kwa mwanae,so unakuta familia kila mtu anakua anaanzia chini kivyake,Angalia mfano wa familia ya Mo Dewji jinsi utajiri wao unavyoendelezwa.
 
Kuna familia ambazo tokea kitambo zinaendelea kufanikiwa kiuchumi na masikini/choka mbaya hadi leo ni hivyo hivyo?
Mawazo ya urithi kama ya ROBERT HERIEL yanafanya familia maskini kuwa maskini zaidi.

Aidha ukweli ni kuwa familia ambazo zilikuwa za hali ya juu miaka ya 70 zimedidimia na familia zilizokuwa maskini wakati huo zimekuwa bora zaidi miaka hii ya 2000 kutokana na watoto wa wazazi wa miaka ya 70 kujituma zaidi kuhassle bila kufikiria urithi.
 
Matajiri Wana namna Yao ya kufikiri kuhusu pesa na utajiri vivyo hivyo masikini nao Wana namna Yao ya kufikiri kuhusu pesa na utajiri.Tunaita money blue print

Ndy maana wachaga wanazidi kuwa matajiri ilhali makabila mengine yanzidi kudidimia Kwa umaskini (Mimi siyo mchaga lakini)
Namna ulivyolelewa,ulivyokaririshwa,uliyoyaona na kuyasikia kuhusu pesa chance ya kufanikiwa au kutofanikiwa ndiyo inakuja kuamua ukianza kujitegemea

Ndy maana kuna msemo; km ulizaliwa ktk familia ya kimasikini ili ufanikiwe inabidi uwaze na ufanye kazi mara kumi zaidi ya mtu anayetoka ktk familia ya kitajiri

Mtu anayeshinda betting milioni 50 baada ya muda kadhaa anaweza kuja kuwa masikini km zamani Kwa sababu moja Tu,kwenye faili linalohusu pesa kwenye kichwa chake Lina taarifa gani,ndy maana Kwa mtu tajiri akifirisika uwezekano wa kurudi kuwa tajiri ni mkubwa sn faili la pesa kichwani mwake lina taarifa sahihi.

Utajiri upo kichwani,pesa ni matokeo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Leo kuna uzi nmeusoma humu nazn una uhusiano mkubwa kat ya kizan kurithisha mali ndio maan utajiri una dumu ,

Lakn kuna watu wanaaamini urithi ukitolew ni upuuzi


Nazn familia hizo huw na Tabia ya kushirikish katk njia zao za msing za kipato na zaidi kusaidia sehemu ya mali ili ndugu yake awez ku wini maisha.


Zamn kdogo niliona n kama watoto wa kishua huw wanakuja kufeli kimaisha ila sasa mambo yamebadlik maskn wamezoea umaskn na hawatak kubdl na ikitokea mmoja amepata basi uaminifu kwa watoto wake au ndugu n mdogo zaid ata ataoamua kuwasaidia wanawez muangamiza.
Kuna familia ambazo tokea kitambo zinaendelea kufanikiwa kiuchumi na masikini/choka mbaya hadi leo ni hivyo hivyo?
 
Tofauti ya Tajiri na Maskini ni namna gani wanatafuta Pesa

Masikini wengi tunakimbizana na pesa
Tunaamka asubuhi kwenda makazini, na jioni tunarudi tukiwa tumechoka

Asubuhi tunaamka tena, na kwenda makazini
Huu mzunguko unaendelea, mpaka utakapo staafu

Ku "staafu" ni lugha ya kiungwana sana.... Kiuhalisia ni namna nyingine ya kukwambia wewe hutufai tena, tumekutumia vya kutosha

Mafao yako haya hapa, nenda ukafe na trauma za kazi, stress na uzee

Wahenga walikua sahihi, mtaji wa maskini ni nguvu zake
Hata kama kazi unayofanya haitumii nguvu moja kwa moja, iwe daktari, mwasibu, mwalimu etc
Kama namna pekee ya wewe kuingiza pesa ni mpaka ufike kituo chako cha kazi, kila siku tano au hata saba za wiki

Wewe ni maskini, na kwa sababu watoto wako watajifunza mengi kutoka kwako, bila shaka watafata hio trend....

Ukifa ghafla, mwanao hawezi kurithi kazi yako

Matajiri wao ni tofauti
Badala ya kukimbizana na pesa, wao wametegesha mashine zinazowatengenezea pesa

Wana miliki assets,
Wana miliki shule unayofundisha,

Bar unayohudumia,

Gari unaloendesha,

Hospitali unayotibu,

Kituo cha TV au Redio unachotangaza etc..

Literally, wewe pia ni sehemu ya kifaa chao cha kazi

Na hata wakifa, watoto zao wananafasi kubwa ya kurithi na kuendeleza assets walizoacha

Hawana haja ya kufika kituo cha kazi, ili kuingiza pesa

Kuna hii nukuu ya Warren Buffet anasema
"Kama ukishindwa kutafuta namna ya kuingiza pesa hata ukiwa umelala, jiandae kufa masikini"

Njia nzuri ya kuelewa point yangu hapo, ni buibui

Buibui hana haja ya kukimbizana na wadudu

Yeye anajikita katika kutengeneza utando tu,

Utando ndio unafanya kazi ya kunasa wadudu kwa ajiri yake, hata akiwa amelala

Hiki ndio Matajiri wanachofanya, wana miradi yao

ila usiwe excited sana, kiasi cha kuacha kazi yako

Ila kumbuka, kutengeneza assets na kuhakikisha kuna watu wanafanya kazi kwa ajiri yako

Masikini hii elimu hatuna, thus why tunabaki masikini
 
Issue ya umaskini na utajiri ni pana sana, sio kama wengi wanavyoichukulia. Kuna watu wana pesa nyingi lakini ni maskini, na kuna watu ni maskini sana ila wana pesa nyingi. "MASKINI AKIPATA MATAKO HULIA MBWATA". Kuwa tajiri ni process ndefu na wengi hawalijui hili. Hawa matajiri wa voda fasta (accidental Bilionears) hupotea fasta kwenye ulimwengu wa utajiri. Utajiri pia una levels.
 
u
Issue ya umaskini na utajiri ni pana sana, sio kama wengi wanavyoichukulia. Kuna watu wana pesa nyingi lakini ni maskini, na kuna watu ni maskini sana ila wana pesa nyingi. "MASKINI AKIPATA MATAKO HULIA MBWATA". Kuwa tajiri ni process ndefu na wengi hawalijui hili. Hawa matajiri wa voda fasta (accidental Bilionears) hupotea fasta kwenye ulimwengu wa utajiri. Utajiri pia una levels.
Utajiri inawezekana sio Process ndefu kama wengi wanavyotaka kuamini

Ni mindset
Una vision kiasi gani?

Una willing ya ku take "calculated risk" kiasi gani?

Unatumia vipi fursa zilizopo kwenye zama zako?

Top 20 ya Billionaires duniani imejaa hao "accidental billionaires"

Lakini ndio hao wanao tengeneza future yetu mpaka sasa

RockeFeller Family ilitumia miaka 100 kutengeneza hadhina ambayo Mark Zuckerberg anaweza kuingiza kiasi hiko hiko kwa miaka 2 au 3 Facebook

Utajiri sio kazi ngumu kwa sasa, ugumu ni ku tune mindset yako na ku stay focused
 
Mawazo ya urithi kama ya ROBERT HERIEL yanafanya familia maskini kuwa maskini zaidi.

Aidha ukweli ni kuwa familia ambazo zilikuwa za hali ya juu miaka ya 70 zimedidimia na familia zilizokuwa maskini wakati huo zimekuwa bora zaidi miaka hii ya 2000 kutokana na watoto wa wazazi wa miaka ya 70 kujituma zaidi kuhassle bila kufikiria urithi.


🤣🤣🤣🤣

Mzee lazima unipe Urithi hata uniseme seme huku
 
u

Utajiri inawezekana sio Process ndefu kama wengi wanavyotaka kuamini

Ni mindset
Una vision kiasi gani?

Una willing ya ku take "calculated risk" kiasi gani?

Unatumia vipi fursa zilizopo kwenye zama zako?

Top 20 ya Billionaires duniani imejaa hao "accidental billionaires"

Lakini ndio hao wanao tengeneza future yetu mpaka sasa

RockeFeller Family ilitumia miaka 100 kutengeneza hadhina ambayo Mark Zuckerberg anaweza kuingiza kiasi hiko hiko kwa miaka 2 au 3 Facebook

Utajiri sio kazi ngumu kwa sasa, ugumu ni ku tune mindset yako na ku stay focused
Ni sawa,
Hawa unaotolea mfano wako level ipi ya maendeleo? Zungumzia ndugu zangu hawa wa Muheza, Bombambili na Tarime huko.
 
u

Utajiri inawezekana sio Process ndefu kama wengi wanavyotaka kuamini

Ni mindset
Una vision kiasi gani?

Una willing ya ku take "calculated risk" kiasi gani?

Unatumia vipi fursa zilizopo kwenye zama zako?

Top 20 ya Billionaires duniani imejaa hao "accidental billionaires"

Lakini ndio hao wanao tengeneza future yetu mpaka sasa

RockeFeller Family ilitumia miaka 100 kutengeneza hadhina ambayo Mark Zuckerberg anaweza kuingiza kiasi hiko hiko kwa miaka 2 au 3 Facebook

Utajiri sio kazi ngumu kwa sasa, ugumu ni ku tune mindset yako na ku stay focused
Tukichanganya mazingira ya Kizungu na Kiswahili mjadala hautanoga. Twende maneromango kule tukamtoe kijana aliyezaliwa na kuishi kule na sasa anataka kutoboa.
 
Back
Top Bottom