Hivi kwanini "miungu" mingi iliyojiteokeza huwa inajaribu kufuta Wayahudi, walikosea wapi

Hivi kwanini "miungu" mingi iliyojiteokeza huwa inajaribu kufuta Wayahudi, walikosea wapi

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Ukisoma Biblia, kuna miungu mingi ilijitokeza akina Baal/Hadad/dagon, wote hawa nia yao siku zote ilikua kufuta Wayahudi, historia yote imejaa aina ya miungu yenye chuki na hasira dhidi ya Wayahudi, japo siku zote hawa Wayahudi huibuka washindi ila bado kila 'mungu' anayejitokeza huwa hasomi historia, anajizatiti kabisa kuua Wayahudi na watoto wao.

Mitaani huku kuna watu wana chuki dhidi ya Wayahudi, yaani Mwafrika ngozi nyeusi ambaye hata hajawahi kutoka nje ya mji alikozaliwa, lakini kutwa wanakusanyika na kubwatuka chuki zao kwa Wayahudi, ambao wapo mbali sana.
Ni laana ipi iko juu ya Wayahudi hadi watafutiwe kufutwa na hivi vizazi na miungu ya kila aina.

Mnaruhusiwa povu, ila ikumbukwe sijataja dini ya mtu.......
 
Isaya 49 inazungumza mengi sana juu Israel isome yote kama ni mvivu wa kusoma soma aya ya tatu inasema 49:3 aliniambia wewe ni mtumish wangu kwako Israel watu watanitukuza
Ongeza na YOHANA 4 :22 nyinyi wasamaria mwaabudu msichokijua lakin sisi tunamjua huyo tunayemwabudu kwa maana wokovu unatoka kwa wayahudi

Kwahiyo unaona hapo kwenye hizo aya kuwa ukomboz wa MUNGU unatokana na hao jamaa ndo maana shetani huuinua miungu tofaut tofaut ili kukomesha kabisa jambo hilo

Bahati MWENYEZI MUNGU husimama imara na Israel
 
Uasi wao umefika pomoni.....wapunguze majigambo
 
Ukisoma Biblia, kuna miungu mingi ilijitokeza akina Baal/Hadad/dagon, wote hawa nia yao siku zote ilikua kufuta Wayahudi, historia yote imejaa aina ya miungu yenye chuki na hasira dhidi ya Wayahudi, japo siku zote hawa Wayahudi huibuka washindi ila bado kila 'mungu' anayejitokeza huwa hasomi historia, anajizatiti kabisa kuua Wayahudi na watoto wao.

Mitaani huku kuna watu wana chuki dhidi ya Wayahudi, yaani Mwafrika ngozi nyeusi ambaye hata hajawahi kutoka nje ya mji alikozaliwa, lakini kutwa wanakusanyika na kubwatuka chuki zao kwa Wayahudi, ambao wapo mbali sana.
Ni laana ipi iko juu ya Wayahudi hadi watafutiwe kufutwa na hivi vizazi na miungu ya kila aina.

Mnaruhusiwa povu, ila ikumbukwe sijataja dini ya mtu.......
Kuna shetani alla yeye ndio kila siku anaatanguliza motoni wafuasi wake,israil mtoa roho hana masihara
 
Kama nakuelewa vuzuri ni kwamba hata dini inayo wapinga Wayahudi; yaani dini hizi za kisasa nayo inaendeleza yale yale ya dini na miungo wa kizamani?
 
Isaya 49 inazungumza mengi sana juu Israel isome yote kama ni mvivu wa kusoma soma aya ya tatu inasema 49:3 aliniambia wewe ni mtumish wangu kwako Israel watu watanitukuza
Ongeza na YOHANA 4 :22 nyinyi wasamaria mwaabudu msichokijua lakin sisi tunamjua huyo tunayemwabudu kwa maana wokovu unatoka kwa wayahudi

Kwahiyo unaona hapo kwenye hizo aya kuwa ukomboz wa MUNGU unatokana na hao jamaa ndo maana shetani huuinua miungu tofaut tofaut ili kukomesha kabisa jambo hilo

Bahati MWENYEZI MUNGU husimama imara na Israel
ila cha kushangaza ni kuwa waisrael wengi sio wakristo na wala hawafuati maandiko ya bible hii
 
ila cha kushangaza ni kuwa waisrael wengi sio wakristo na wala hawafuati maandiko ya bible hii
Inshu siyo bible bali ni ukomboz

Wewe ukiwa Islamic na mimi ni mfanya kazi wako mkristo unanipa mshahara na sadaka tiar wewe ni njia yangu ya mimi kwenda kanisan na kuokoka hata kama wewe siyo mkristo
 
Isaya 49 inazungumza mengi sana juu Israel isome yote kama ni mvivu wa kusoma soma aya ya tatu inasema 49:3 aliniambia wewe ni mtumish wangu kwako Israel watu watanitukuza
Ongeza na YOHANA 4 :22 nyinyi wasamaria mwaabudu msichokijua lakin sisi tunamjua huyo tunayemwabudu kwa maana wokovu unatoka kwa wayahudi

Kwahiyo unaona hapo kwenye hizo aya kuwa ukomboz wa MUNGU unatokana na hao jamaa ndo maana shetani huuinua miungu tofaut tofaut ili kukomesha kabisa jambo hilo

Bahati MWENYEZI MUNGU husimama imara na Israel
kwa nukuu hizo basi Mungu ndiyo chanzo cha chuki, Mungu ndiye baba wa ubaguzi.
Kwanini apitie kwa watu fulani Israel badala ya kupitia kwa wanadamu wote?
Kwahiyo Mungu ana watu wake spesho?
Hatimae tumemjua baba wa chuki na ubaguzi.
 
ila cha kushangaza ni kuwa waisrael wengi sio wakristo na wala hawafuati maandiko ya bible hii
Wengi sio Wakristo, Wengi wanaifata dini yao ya zamani yaani Judaism, hata wale Wapagani kama yule mmiliki wa Facebook bado huaga wanakwenda kwenye majengo yao ya ibada; wanafata Biblia agano la KALE. Mfano baba yake na huyu waziri mkuu wa sasa bwana Benyamini Netanyahu, baba yake mzazi alikua RABI wa Judaism (Rabi ni mwalimu wa dini yao, kwa huku kwetu we could call him as bishop or sheikh au kadhi)
 
ila cha kushangaza ni kuwa waisrael wengi sio wakristo na wala hawafuati maandiko ya bible hii

Wanafuata maandiko ya Biblia ila agano la kale, ndio maana mkiwapiga na wao wanarudisha kipodo, agano la kale lilikuwa na sheria za Musa zilizoruhusu jicho kwa jicho.
Hivyo temaneni na Wayahudi, mtakufa sana na mtawaacha tu, miungu yote imejaribu kuwaua lakini imeshindwa.
 
Wanafuata maandiko ya Biblia ila agano la kale, ndio maana mkiwapiga na wao wanarudisha kipodo, agano la kale lilikuwa na sheria za Musa zilizoruhusu jicho kwa jicho.
Hivyo temaneni na Wayahudi, mtakufa sana na mtawaacha tu, miungu yote imejaribu kuwaua lakini imeshindwa.
upo sahihi nimesoma mahali wanasema wanafuata 'Hebrew Bible' ambayo sehemu kubwa ya vitabu vya 'old testament" vimetokea huko
 
Ukisoma Biblia, kuna miungu mingi ilijitokeza akina Baal/Hadad/dagon, wote hawa nia yao siku zote ilikua kufuta Wayahudi, historia yote imejaa aina ya miungu yenye chuki na hasira dhidi ya Wayahudi, japo siku zote hawa Wayahudi huibuka washindi ila bado kila 'mungu' anayejitokeza huwa hasomi historia, anajizatiti kabisa kuua Wayahudi na watoto wao.

Mitaani huku kuna watu wana chuki dhidi ya Wayahudi, yaani Mwafrika ngozi nyeusi ambaye hata hajawahi kutoka nje ya mji alikozaliwa, lakini kutwa wanakusanyika na kubwatuka chuki zao kwa Wayahudi, ambao wapo mbali sana.
Ni laana ipi iko juu ya Wayahudi hadi watafutiwe kufutwa na hivi vizazi na miungu ya kila aina.

Mnaruhusiwa povu, ila ikumbukwe sijataja dini ya mtu.......
Umemsahau Yesu,hukumuweka kwenye orodha.
 
Ukisoma Biblia, kuna miungu mingi ilijitokeza akina Baal/Hadad/dagon, wote hawa nia yao siku zote ilikua kufuta Wayahudi, historia yote imejaa aina ya miungu yenye chuki na hasira dhidi ya Wayahudi, japo siku zote hawa Wayahudi huibuka washindi ila bado kila 'mungu' anayejitokeza huwa hasomi historia, anajizatiti kabisa kuua Wayahudi na watoto wao.

Mitaani huku kuna watu wana chuki dhidi ya Wayahudi, yaani Mwafrika ngozi nyeusi ambaye hata hajawahi kutoka nje ya mji alikozaliwa, lakini kutwa wanakusanyika na kubwatuka chuki zao kwa Wayahudi, ambao wapo mbali sana.
Ni laana ipi iko juu ya Wayahudi hadi watafutiwe kufutwa na hivi vizazi na miungu ya kila aina.

Mnaruhusiwa povu, ila ikumbukwe sijataja dini ya mtu.......
Majibu Yako yalianzia Misri.......!
Hata chanzo Cha Uislam ni Chuki juu ya Mungu wa Israel.....!
 
Kwa hiyo Yesu,alijaribu kuwaua,ndio wakamuwahi Yeye kumuua?
Wanafuata maandiko ya Biblia ila agano la kale, ndio maana mkiwapiga na wao wanarudisha kipodo, agano la kale lilikuwa na sheria za Musa zilizoruhusu jicho kwa jicho.
Hivyo temaneni na Wayahudi, mtakufa sana na mtawaacha tu, miungu yote imejaribu kuwaua lakini imeshindwa.kwa
 
Back
Top Bottom