Hivi kwanini Mondi na timu yake adui yao Konde na siyo Kiba?

Agizachochote

Member
Joined
Sep 29, 2020
Posts
34
Reaction score
464
Lile Jitu zee anbalo likila demu lazima litangaze.

Hivi kwann Mondi na timu yake hawampondi alikiba mashambulizi yote kwa konde Boy worldwide. Mzee mzma Kiki zimeishaisha kaona bora amuite yule x wake Mzee ili apate Buster

Mtandale katoa nyimbo 2 mwezi Sasa hata m3 views hajafika. Kwa Sisi tunao jua mziki diamond na Alikiba mziki Kwa sasa basi hamna kipya.

Now it's time for Konde Boy..

Jeshiiiiii
 
Naona mnamfananisha Fred Vunjabei na Bakhresa,alafu mnadai Bakheresa analazimisha beef vunjabei wakati ndugu yenu katoa nyimbo nne zote za kuponda alafu watu kimya hawamjibu.

Najua mnapata tabu sababu hamjibiwi na hamtojibiwa.
 
"muziki bas" wamemtabiria sana lkn ndo anazidi kupaa
 
Kwa sababu ni mwizi mwenzao kwa style ya copy and paste huku akitumia kibwagizo cha hakuna jipya duniani
 
Kiufupi tukiondoa skendo na kiki za mademu....mondi ni msanii utopolo kuliko lava lava
Ifike wakati tukubali kuwa zama za kibamia na domo zimepita...huu ni wakati wa kondeboy kutamba kimuziki.
Mondi hivisasa pumzi imekata,,utunzi wa mashairi umeisha
Anasubiri vikolabo tu vya wanae adandie
 
Kama ni wakati wake si autumie tuone akitawala na kuchukua matuzo makubwa kama hao waliopitwa na wakati? Au kuna anaemzuia! Utalinganisha wimbo wake upi na hata Cheche tu ya Zuchu mtoto wa juzi huko Trending? Hii maneno haipo zaidi mdomoni na kulambana viatu, hii game iko wazi na ina hesabu zake ili ufike pale juu.
 
Duuuuh hatareeeh sanaaah, wacha tuone lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…