Hivi kwanini mwanamke akitaka kuolewa anatolewa mahari?

Hivi kwanini mwanamke akitaka kuolewa anatolewa mahari?

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,912
Hongera kwa kuvumilia maumivu ya tozo, pia msisahau kulipa ada kwa wale mliozaa kwenye ndoa au nje ya ndoa.

Kwa nini mwanamke akitaka kuolewa kuna huu upuuzi sijui;
  • Kupeleka barua ya posa
  • Sijui kutoa mahari
  • Sijui Kumvalisha pete ya uchumba

Hivi ndoa haiwezi kufanyika bila huu mlolongo wa ukiritimba? Na kwa nini wanawake wanaendekeza huu upuuzi?
 
India mambo ya mahari yanaratibiwa na mwanamke
 
Tumeshajadili sana hilo, kabla ya kuanzisha thread pale juu Ashadii amezikusanya sehemu moja thread zote.
 
Usiseme ivyo izo ni mila zety nenda India utakuta kitu tofauti kweny ndoa..Mila so hatuna budi
 
Back
Top Bottom