Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

Mimi huwa niko na kawaida ya kutengeneza playlist tofauti tofauti na kuzisikiliza wakati naendelea na kazi zangu (huwa napata utulivu wa kubaki kwenye jambo moja kwa wakati huo, kwasababu kichwa changu huwa kina shida ya kufungua mafile mengi kwa wakati mmoja hasa kikiwa kwenye utulivu wa kutokupokea mambo mapya kutoka nje, hali hii huwa inanifanya niweze kufanya vitu nusu nusu).

Sasa leo kwenye playlist yangu nimejikuta niko na ngoma kadhaa za hao jamaa wakuitwa navy kenzo, na kilichotokea ni kwamba wakati ngoma inahama kutoka kwa hawa jamaa kwenda kwenye ngoma ya msanii mwingine kuna test tofauti kabisa ambayo inatosha kusema ile ngoma iliyopita haiwezi kuwekwa kwenye mzani sawa na hii iliyoingia kutokana na ubora wa sound yake.

Yaani kuanzia kwenye midundo hadi mixing, na uimbaji wao na midundo ni kama imefungana kiasi cha kuleta test fulani ya tofauti yaani ile test ya ki-Grammy Grammy kabisa.

Kila siku tumekua tukistruggle juu ya wasanii wetu kupenya kwenye soko la kimataifa ili hali tobo la kutupeleka huko ni kama lipo wazi kabisa ila ni vile tu hatujaamua, kwa mfano "Nahreel on the beat" ingekua inaskika kwenye ngoma nyingi za wasanii wetu wanaopambana kwenda kimataifa nadhani wangefika wanapotaka kutokana na sound ya jamaa jinsi ilivyo(au nimefika mbali sana😅).

Anyway, unahisi ni nini shida inayopelekea hawa jamaa wakose support kwa mtaa, ukiachana na sababu ya kuyajenga maisha yao kwenye engo ngumu ya kutokufungamana na mambo mengi ya kijamii ikiwemo ya kisiasa (sijui kama wameshawahi kwenda Dodoma kiuoto wa asili hawa), au sound yao iko mbele ya muda sana?.
Simply wao sio machawa, uliwaona kwenye kilele cha ccm dom? , je umewaona kweny ugawaji wa tuzo tuzo sjui?? Bhas kama huwaon huko huwez waona popote zaid ya nyumban kwao. Sema kikubwa ni kama mziki wao unakufurahisha bhas inatosha maana wapo miyon kwako.
 
Mimi huwa niko na kawaida ya kutengeneza playlist tofauti tofauti na kuzisikiliza wakati naendelea na kazi zangu (huwa napata utulivu wa kubaki kwenye jambo moja kwa wakati huo, kwasababu kichwa changu huwa kina shida ya kufungua mafile mengi kwa wakati mmoja hasa kikiwa kwenye utulivu wa kutokupokea mambo mapya kutoka nje, hali hii huwa inanifanya niweze kufanya vitu nusu nusu).

Sasa leo kwenye playlist yangu nimejikuta niko na ngoma kadhaa za hao jamaa wakuitwa navy kenzo, na kilichotokea ni kwamba wakati ngoma inahama kutoka kwa hawa jamaa kwenda kwenye ngoma ya msanii mwingine kuna test tofauti kabisa ambayo inatosha kusema ile ngoma iliyopita haiwezi kuwekwa kwenye mzani sawa na hii iliyoingia kutokana na ubora wa sound yake.

Yaani kuanzia kwenye midundo hadi mixing, na uimbaji wao na midundo ni kama imefungana kiasi cha kuleta test fulani ya tofauti yaani ile test ya ki-Grammy Grammy kabisa.

Kila siku tumekua tukistruggle juu ya wasanii wetu kupenya kwenye soko la kimataifa ili hali tobo la kutupeleka huko ni kama lipo wazi kabisa ila ni vile tu hatujaamua, kwa mfano "Nahreel on the beat" ingekua inaskika kwenye ngoma nyingi za wasanii wetu wanaopambana kwenda kimataifa nadhani wangefika wanapotaka kutokana na sound ya jamaa jinsi ilivyo(au nimefika mbali sana😅).

Anyway, unahisi ni nini shida inayopelekea hawa jamaa wakose support kwa mtaa, ukiachana na sababu ya kuyajenga maisha yao kwenye engo ngumu ya kutokufungamana na mambo mengi ya kijamii ikiwemo ya kisiasa (sijui kama wameshawahi kwenda Dodoma kiuoto wa asili hawa), au sound yao iko mbele ya muda sana?.
Washazeeke mazee yey badala achague video queen mwingine wa 2000 anakuletea bibi wakimachame wa miaka hiyo ya kikoloni nani atakuwa favorite
 
Washazeeke mazee yey badala achague video queen mwingine wa 2000 anakuletea bibi wakimachame wa miaka hiyo ya kikoloni nani atakuwa favorite
Lakini hapo unazungumzia kwenye muktadha wa video mkuu, vipi kuhusu audio🤣🤣
 
Katika audio anafanya vyema pia ila Kuna namna solo lilipoelekea baaz limewaacha sana labda wakubali kufanya mabadiliko
Kwa jinsi unavyomsikiliza na kuskiliza soko la Dunia unaona soko limekuacha duniani au hapa nyumbani?
 
Wanajua Sana Muziki Hao.
Sound Yao Kuanzia Melodies Wanazopitaga Nazo,Type Beats Zao Zinaweza Chezwa Channel Yoyote Ya Kimataifa.
Wana Ladha Fulani Hivi Za Kijamaica DANCE HALL Pia Afrobeats.
Mashairi Wanayotumia Pia Yamekaa Kinyamwezi Mno Ili Kuwaelewa Lazim Uende Shule Kidogo..Fuatilia Hilo Utagundua Navy Kenzo Fans Wao Wengi Wa Wasomi Somi Na Majority Ya Watanzania Ni Uswahilini Na Uswazi Ambao Wanaelewa Kiurahisi Mashairi Ya Kina Mbosso.
NAVY Kenzo Wako Levels.....
Fact hawa jamaa wanapiga sana shoo za kimataifa afu wakirudi kama siyo wao tembelea kurasa zao ndo utajua
 
Nawakubali Navy Kenzo ila unapata unachostahili sio unachotaka.

Mziki mzuri utapenya tu sio lazima kiki kama wengi wanavyodai. Fally Ipupa anakiki gani? Wakati P-square wanafungua soko la Nigeria walitoka na kiki gani?

NK mziki wanaofanya sio rahisi kupendwa TZ kama typical bongo fleva na kwa soko la dunia tayari lipo saturated na mziki wa aina hiyo. Hakuna maajabu kwa soko la nje.

Nahreel ni ni bonge ya producer; safari na gere za weusi alipiga yeye zina beat la hatari. Chelewa ya kwao wenyewe bonge la wimbo nk.
 
Kuna interview moja niliwahi kumsikia Nahreel akiadmit kuwa audio production hailipi, yaani watu hawalipi wanachukulia poa tu na wakilipa ni kile wanachojisikia, hapo ndipo alipoamua kuweka bei na mkataba wa malipo kuwa ili akutengenezee mdundo sharti ulipe Tsh 1mil. Hapo ndipo wasanii karibu wote aliokuwa anafanya nao kazi walikimbia wakiwemo na hao washkaji wake wa Weusi hasa Joh.
Na mpaka sasa ni hivyo hivyo tu hata huyu s2kizzy analipwa na diamond angalau vizuri wengine wanalipa hela za madafu tu

Sasa joh atalipa milioni anatoa wapi yule? Alitengenezewa midundo mikali akapiga hela sana ila kumlipa producer ndiyo anaona ubahili wakati hiyo ngoma jnamfaidisha maisha yote huku producer anakufa njaa

Bora nahreel kaacha huo ujinga haulipi
 
Na mpaka sasa ni hivyo hivyo tu hata huyu s2kizzy analipwa na diamond angalau vizuri wengine wanalipa hela za madafu tu

Sasa joh atalipa milioni anatoa wapi yule? Alitengenezewa midundo mikali akapiga hela sana ila kumlipa producer ndiyo anaona ubahili wakati hiyo ngoma jnamfaidisha maisha yote huku producer anakufa njaa

Bora nahreel kaacha huo ujinga hauli
Maslahi ya chain ya muziki wetu bado inasafari katika baadhi ya mambo mkuu. Lakini angalau kwa sasa ukilinganisha na tulikotoka though katika upande wa audio production nahisi wakati ule wa kina MAJAN na Master Jay walipiga sana pesa ukilinganisha na hiki kipindi cha hapo kati mpaka leo.
 
Back
Top Bottom