Hivi kwanini Subaru Impreza new model kuanzia 2012 huuzwa mapema baada ya kununuliwa ! Zinachangamoto Gani ? Mwenye ujuzi atujuze tafadhali

Hivi kwanini Subaru Impreza new model kuanzia 2012 huuzwa mapema baada ya kununuliwa ! Zinachangamoto Gani ? Mwenye ujuzi atujuze tafadhali

NyegereBOY

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2021
Posts
225
Reaction score
328
Wakuu kama kichwa kinavyoeleza nimeanza kuwa na mapenzi ya dhati na Subaru Impreza za kuanzia mwaka 2012 tofauti na matoleo ya Nyuma kwakuwa za Nyuma niliziona ziko chini sana tofauti na hizi new model

Wasi wasi wangu ni kuwa nyingi nazo zifahamu au kuziona Mtaani na hata mtandaoni huuzawa mara tu baada ya kununuliwa hili linanipa maswali kadhaaa

1 Kwanini huuzwa haraka na zikiwa na usajili mbichi
2 Zinachangamoto Gani inayopelekea walionunua kuuza Kwa bei rahisi tofauti na manunuzi na ukilinganisha na usajili Kwa makadirio show room ni kama 22 Hadi 18M ila ni kawaida kukuta namba E ikiuzwa 14-12M

Mwenye ujuzi na ufahamu kidogo kuhusu hizi gari atuelekeze kidogo na changamoto zake nilikuwa nafikiria kuivuta mwakani mapema
 

Attachments

  • Screenshot_20241220-141430_Facebook.jpg
    Screenshot_20241220-141430_Facebook.jpg
    704 KB · Views: 13
Wakuu kama kichwa kinavyoeleza nimeanza kuwa na mapenzi ya dhati na Subaru Impreza za kuanzia mwaka 2012 tofauti na matoleo ya Nyuma kwakuwa za Nyuma niliziona ziko chini sana tofauti na hizi new model

Wasi wasi wangu ni kuwa nyingi nazo zifahamu au kuziona Mtaani na hata mtandaoni huuzawa mara tu baada ya kununuliwa hili linanipa maswali kadhaaa

1 Kwanini huuzwa haraka na zikiwa na kusajili mbichi
2 Zinachangamoto Gani inayopelekea walionunua kuuza Kwa bei rahisi tofauti na manunuzi na ukilinganisha na kusajili Kwa makadirio show room ni kama 22 Hadi 18 ila ni kawaida kumkuta namba E ikiuzwa 14-12M

Mwenye ujuzi na ufahamu kidogo kuhusu hizi gari atuelekeze kidogo na changamoto zake nilikuwa nafikiria kuivuta mwakani mapema
Aina ya engine iliyopo kwenye hii gari inaliza watu. Sio reliable na zinakufa mapema.
 
Engine kimeo bro chukua generation hii hutojuta…
Spacer inch 1.5 na tail size 17 inakuwa juu kiasi..

Hizi n roho y paka, mm yangu now inasoma 160km, no problem, safari dar - kigoma nikama kwenda mwenge makumbusho.

Kazi kwako.
 

Attachments

  • B4AC79B2-A3C5-4770-BEA4-EA089C932E26.jpeg
    B4AC79B2-A3C5-4770-BEA4-EA089C932E26.jpeg
    378.4 KB · Views: 3
Engine kimeo bro chukua generation hii hutojuta…
Spacer inch 1.5 na tail size 17 inakuwa juu kiasi..

Hizi n roho y paka, mm yangu now inasoma 160km, no problem, safari dar - kigoma nikama kwenda mwenge makumbusho.

Kazi kwako.
Mkuu una
Engine kimeo bro chukua generation hii hutojuta…
Spacer inch 1.5 na tail size 17 inakuwa juu kiasi..

Hizi n roho y paka, mm yangu now inasoma 160km, no problem, safari dar - kigoma nikama kwenda mwenge makumbusho.

Kazi kwako.
Mkuu unamnisha ukiwa na Impreza ya aina hiyo haina shida?
 
Back
Top Bottom