Hivi kwanini Trump ana outsmart watu wengi ? Media combine Democratic Party

Hivi kwanini Trump ana outsmart watu wengi ? Media combine Democratic Party

Tungekupa taifa kama Marekani uwe rais, unge handle vipi Corona? Hebu tupe kifupi tuone kama una akili hizo unazodai ama la
America is a leader
Tungekupa taifa kama Marekani uwe rais, unge handle vipi Corona? Hebu tupe kifupi tuone kama una akili hizo unazodai ama la

I think we both agree America is superpower.
As superpower it is supposed to be a leader in world crisses, a good example during Obama era we see it lead figh against Ebola in Western Africa, unfortunate it has not been a case with Trump a buffoon character on world highest office.
Let assume am president of USA, by using resorce i have i would trump on coronavirus at earl stage by assisting all countries especially poor countries. Make the world free of coronavirus
 
Let assume am president of USA, by using resorce i have i would trump on coronavirus at earl stage by assisting all countries especially poor countries. Make the world free of coronavirus
In that regard, Trump have a better plan than your empty words. Yaani hii ndio ingekuwa plan yako? Kweli kusema ni rahisi sana kuliko kutenda. Pole!
 
Trump con man hana akili kama unavyofikiri anazo. Ukitaka kuona jinsi alivyo mjinga na ukakasi gani anawatia wamerekani angalia jinsi anavyohandle corona utapata majibu yote kwamba huyu bwana anapenda kutukuzwa mwamzo mwisho
Huenda upo sahihi! Hofu yangu kubwa ni kwamba hawa watu huenda wanajua zaidi wanachokifanya kuliko measure ambazo sisi tunazitumia.Dunia inaenda kubadilika kabisa na ili hayoo yatokee lazima kutakua na mfululizo wa matukio.Dunia ike ya jana haitakuwepo tena!!
 
Stefano Mtangoo
Ni kweli kusema ni rahisi kuliko kutenda lakini inakuingia akilini kuona taifa lenye kila kitu kwa mataifa yaliyoendelea kufanya hovyo kabisa bila kuuliza what happen.

nurdidy
Yajayo yanatisha
 
Stefano Mtangoo
Ni kweli kusema ni rahisi kuliko kutenda lakini inakuingia akilini kuona taifa lenye kila kitu kwa mataifa yaliyoendelea kufanya hovyo kabisa bila kuuliza what happen.

nurdidy
Yajayo yanatisha
Hujaelewa vizuri hizi staki staki za Corona. Wengi wakiangalia idadi ya vifo wanadhania hakuna kitu mle na hali ndio worse. Hint: Angalia population, wamepimwa wangapi, wameambukizwa wangapi, wamekufa wangapi na wamepona wangapi. Piga asilimia hizo kwa kila nchi then utaelewa ninachokueleza.

Pia ukiwa unamnanga Trump ujue kuwa ni virus mpya, taarifa ya mwanzo ya China na WHO.

Trump sio Mungu wala malaika. Anakosea. Ila sio kilaza na given all factors amejitahidi kwa namna ambayo wengi wetu tungepewa nafasi pengine tungefanya vibaya zaidi.

Unless useme exactly wapi amekosea than blanket statements
 
Stefano Mtangoo

Kama ungekuwa umefuatilia ungenielewa ngoja nikueleweshe chonde chonde usipoelewa na hapa ndo basi tena ipo hivi.

Trump as america president anashirikiana na taasisi mbalimbali sio kwamba kila kitu anaamua yeye.

Mchezo upo hivi.

Kulikuwa na commission in. White house to deal with security risky associated with pandemic aliyeanzisha hii taasisi ni Obama lakini mwaka 2018 trump adminstration wakaifutilia mbali kwa maelezo kwamba wanabana matumizi na pia kama muendelezo wa trump kufuta sera zote alizoacha Obama (chuki na kuhofia kutofanya vyema kama obama inachangia pia na labda ubaguzi wa rangi) hii ni kete ya kwanza

Baada ya gonjwa kugundulika wuhani Amerika officially walijulishwa mwishon mwa December. Na WHO ikadeclare kwamba hili gonjwa ni pandemic na kuziambia nchi kuchukua hatua na mwisho wa mwezi januari. Kitu walichositiza ni ni test test test and isolate hapa Germany concelar akakaa na wataalamu wake wakamwambia watu laki watakufa Germany kama isipoanza kazi mapema. Hali ilikuwa tofauti kwa trump kwani alikataa kata kata kuanza kufanyia kazi yeye alikuwa anawaza tu kufanya campaign. Usidhani kwamba hakuletewa taarifa aliletewa na akawa mbishi anajiona mjuaj

Ipo waz kabisa trump kwanza akasema corona sio gonjwa pa kuogopa, wazir wa biashara cavarro akaandika memo juu ya hatari hii baada ya juhudi zake kumshwawishi kugonga mwamba juu ya balaaa linalokuja mwezi wa pili

Apa trump akawa anajiona kichizi kisa usa kuna vifo vichache na wagonjwa kumi na tano akiulizwa nabwaandishi anasema corona itaondoka yenyewe

Trump hakuweka lockdown yoyote magavana baada ya kuona serikali kuu haina clue ndobwakaanza juhudi binafsi huu mwezi wa tatu watu wanaumwa na test hawawezi pata karibu miezi miwili

Mpaka sasa bado test zinasumbua ingawa wamekuja na test za faster lakin bado kuna uhaba

Kituko magavana wakaambia kila mmoja ajiokoe kivyake hivyo majimbo yakaanza kugombea vifaaa na kupaisha bei na serikali kuu ikawa nayo inanunua

Ilikuwa ni test ambako trump kafeli vibaya lakini kosa sio lake kosa ni kwa wamerekani wote waliomchagua kwa kujitanguiza wao mbele wakati wana majukumu kwa dunia nzima

Utakuwa umeweza kushangaa kwa nini kuna sintofahamu kwa sababu Marekani hajaplay part yake watu tumeshazoea kuona amsha amsha Marekani wanazofanya kuhamasisha na kuwa mastari wa mbele kupigania mambo ya haki. Mgerumani kujisaidia mwenyewe kimya kimya hata muitali hajsaidia mchina ndo wala hana habari ye anauza tuu. Ingekuwa kuna raisi mwingine pale ikulu ya Marekani ongeona viongozi wakinyoshewa vidole vya kutokucheA na uhai wa watu.
 
America is a leader

I think we both agree America is superpower.
As superpower it is supposed to be a leader in world crisses, a good example during Obama era we see it lead figh against Ebola in Western Africa, unfortunate it has not been a case with Trump a buffoon character on world highest office.
Let assume am president of USA, by using resorce i have i would trump on coronavirus at earl stage by assisting all countries especially poor countries. Make the world free of coronavirus
To be honest Trump amefeli yaan ameshindwa kuifanya u.s ku-act like a super power. Hii pandemic ilikua under control mapema Ila ndo hivyo kiranja wa dunia aliipuzia sana
 
Ila anamzidi Baba yako akili

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah jamaa umezingua sana.
Mzazi wake anahusikaje hapa?

Unafikiri na yeye hawezi kuhusisha wazazi wako?
Je itakuwa busara kufanya hivyo?

Au wewe huwajui wazazi wako huenda ulilelewa na wabaki kwenye vituo?

Angalizo: Kulelewa kwenye vituo vya watoto yatima au wa mitaani siyo aibu au jambo baya kama hauna wazazi.
Ni sehemu tu ya maisha ambayo waliopitia hawakuwa na chaguo.
 
Tungekupa taifa kama Marekani uwe rais, unge handle vipi Corona? Hebu tupe kifupi tuone kama una akili hizo unazodai ama la
Sakata la Corona limemkalia Trump vibaya sana,angalia medical experts walivyomkaanga. Kwa kifupi anaonekana hajali watu,bali urais na mishe zake za kibiashara.
 
Hujaelewa vizuri hizi staki staki za Corona. Wengi wakiangalia idadi ya vifo wanadhania hakuna kitu mle na hali ndio worse. Hint: Angalia population, wamepimwa wangapi, wameambukizwa wangapi, wamekufa wangapi na wamepona wangapi. Piga asilimia hizo kwa kila nchi then utaelewa ninachokueleza.

Pia ukiwa unamnanga Trump ujue kuwa ni virus mpya, taarifa ya mwanzo ya China na WHO.

Trump sio Mungu wala malaika. Anakosea. Ila sio kilaza na given all factors amejitahidi kwa namna ambayo wengi wetu tungepewa nafasi pengine tungefanya vibaya zaidi.

Unless useme exactly wapi amekosea than blanket statements
Umewasikiliza medical experts lakini wakiongozwa na Dr Fucci
 
Jamani, stop blaming Trump and USA. Au ndo ile kauli ya siku zote "ukubwa jalala?"

Ni nchi gani mpaka sasa miongoni mwa big powers iliyoweza walau kuu"curb" huu ugonjwa? Where is Germany, France, Russia etc ambao "labda" ni intelligent kuliko Trump?

One thing we should know, USA ni bonge la nchi, 52 states, population yake ni kubwa, very diverse na very active kwenye "global interactions". Democracy iko juu sana kiasi hata "quaranteen" ni hoja. Kuuzuia huu ugonjwa kwa nchi kama hii ni ngumu mno
 
Russia Investigation ametumia ofisi kuficha udhaifu wake kupitia Bill Barr, kimsingi Trump alikuwa na Makosa isipokuwa sheria ya Marekani hairuhusu Rais aliyepo madarakani kushtakiwa kisheria, bali hutumia taratibu za Kisiasa kupitia Congress, Na hatimaye Senate, lakini kuna mgawanyiko mkubwa kwenye Utawala, GOP wana Ikulu na Senate na hivyo ndio wanavitumia kuhakikisha kuwa Trump ashitakiwi, Mwisho wa siku wananchi ndio watakaoamua, Japo hii haiondoei nguvu ya kesi nyingi zinamzokabili Trump katika mahakama mbalimbali, Slama yake itakuwa akishinda Urais kwa muhula wa pili, Lakini akishindwa anaweza kuchezea jela.
Kwa USA Rais hashtakiwi mahakamani kwa kosa lolote alilolifanya akiwa madarakani baada ya kutoka madarakani. Kama unasubiri kuchezea jela, labda kwenye movies zitakazochezwa baada ya kutoka madarakani.
 
Umewasikiliza medical experts lakini wakiongozwa na Dr Fucci
Sio Fucci ni Dr. Anthony Fauci. Kama Unafahamu kiingereza basi msikilize Dr. Fauci mwenyewe akiongea kuhusu Rais Trump. Majibu yako yapo hapo. Kazi ya Rais ni kuwashirikisha wataalam kumshauri na kuchukua hatua kulingana na ushauri na utashi wake.

Majibu yako haya hapo!

 
Back
Top Bottom